Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Esther Cheruiyot (Guest) on July 18, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

John Mwangi (Guest) on July 13, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on July 10, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nashon (Guest) on July 5, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joyce Aoko (Guest) on June 28, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Issack (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Agnes Njeri (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Sumaya (Guest) on April 7, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mhina (Guest) on March 16, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Brian Karanja (Guest) on March 14, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on February 19, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Dorothy Nkya (Guest) on February 16, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Selemani (Guest) on February 11, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ndoto (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Elizabeth Malima (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Faiza (Guest) on January 7, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Daniel Obura (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on January 1, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Benjamin Kibicho (Guest) on December 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on November 30, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on November 25, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Malima (Guest) on November 7, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on October 14, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on September 9, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on September 1, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on August 31, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Jane Muthui (Guest) on August 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on July 14, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Yusuf (Guest) on May 24, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rukia (Guest) on May 20, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Andrew Mchome (Guest) on May 19, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on May 17, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Mahiga (Guest) on May 13, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Komba (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Henry Mollel (Guest) on April 16, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Anna Mahiga (Guest) on April 2, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 29, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Shani (Guest) on March 27, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Sokoine (Guest) on March 27, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on March 26, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edward Chepkoech (Guest) on March 7, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on January 18, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 10, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on December 25, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on December 21, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on December 15, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on October 24, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Kendi (Guest) on October 21, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Khamis (Guest) on October 12, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on September 7, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on July 9, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Simon Kiprono (Guest) on May 12, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Agnes Njeri (Guest) on April 26, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on April 8, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Kitine (Guest) on March 27, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on March 24, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About