Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jafari (Guest) on July 11, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Peter Otieno (Guest) on July 7, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jamila (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Stephen Malecela (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Lucy Kimotho (Guest) on June 22, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mary Njeri (Guest) on June 12, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on May 10, 2024

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on May 3, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 24, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on February 29, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Agnes Sumaye (Guest) on December 18, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kahina (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sumaya (Guest) on December 10, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Mrope (Guest) on October 30, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Makena (Guest) on October 25, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on October 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on October 12, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on October 11, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on August 14, 2023

🀣πŸ”₯😊

Moses Kipkemboi (Guest) on July 4, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nancy Komba (Guest) on July 1, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on June 24, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Rose Lowassa (Guest) on May 31, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Amani (Guest) on May 15, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on May 13, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on April 14, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Mwinuka (Guest) on April 10, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on April 2, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on February 20, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on February 9, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Patrick Akech (Guest) on February 2, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Monica Adhiambo (Guest) on February 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Kimotho (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on November 27, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Daudi (Guest) on November 8, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on November 2, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Kijakazi (Guest) on September 27, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Hassan (Guest) on September 23, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Robert Ndunguru (Guest) on September 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Ruth Kibona (Guest) on August 20, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on August 3, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Alex Nyamweya (Guest) on July 20, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Ochieng (Guest) on May 22, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on April 14, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on April 1, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rahma (Guest) on March 22, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Asha (Guest) on March 4, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Benjamin Kibicho (Guest) on March 2, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on February 10, 2022

Asante Ackyshine

Stephen Kikwete (Guest) on January 14, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Khatib (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mwalimu (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Diana Mumbua (Guest) on December 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on November 17, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_de4c8ec80d486efe7b90adf7dd6437a2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact