Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Siri ya Yesu: Mwangaza Wa Maisha

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Siri ni hii, Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza. Giza na Mwanga havichangamani. Yesu hakai pamoja na uovu. Giza haliwezi kuzidi Mwanga. Uovu hauwezi kumzidi Yesu. Mwanga ukija giza linaondoka. Yesu akija uovu unakwisha.

Kujikabidhi Kwa Yesu Kristu Yeye Aliye Mwangaza Wa Maisha

Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza

Giza na Mwanga havichangamani. Yesu hakai pamoja na uovu.
Giza haliwezi kuzidi Mwanga. Uovu hauwezi kumzidi Yesu.
Mwanga ukija giza linaondoka. Yesu akija uovu unakwisha.

Yesu Kristu ni mwangaza wa maisha yetu, akiwepo giza lote hutoweka.
Yesu akiwepo hakuna haja ya kufukuza giza bali giza litatoweka Lenyewe.

Unapomkaribisha Yesu katika maisha yako umekaribisha mwanga katika maisha yako na utashinda dhambi na uovu kwa kuwa Yesu aliye mwanga atavifutilia mbali.

Kikubwa ni kumkaribisha Yesu katika maisha yako na kumruhusu atawale Maisha yako na kila kitu katika maisha yako. Ukiweza kuachilia yote kwa Bwana Yesu na kumpa maisha yako basi utashinda uovu/dhambi. Vile unavyojiweka karibu na Yesu ndivyo unavyoshinda dhambi na uovu wote.

Kumkabidhi Yesu MaishaΒ ni Kuamua kuishi kulingana na Mafundisho yake, kuachilia yote katika maongozi yake, kumshirikisha Yesu kwenye kila kitu katika maisha yako na Kuwa mkweli na muwazi mbele ya Yesu katika kila kitu.

Unapomkabidhi Yesu Maisha yako na vyote ulivyonavyo yeye huyatakatifuza na kuyafanya yawe kama yanavyotakiwa kuwa kitakatifu.

Changamoto kubwa kwa Wakristu ni kushindwa kujiweka Mikononi mwa Yesu kwa kuachilia yote na kukabidhi yote kwake. Wengi wanashindwa kufanya hivyo kwa sababu ya ubinafsi na uchu wa kusimama wenyewe. Wengine wanashindwa kwa sababu ya kukosa Imani. Hawana uhakika kwamba wanachokifanya wanakifanya kweli.

Lakini ukiweza kweli kumkabidhi Yesu Maisha yako, kila kitu kinakua sawa na utafanikiwa kwenye kila kitu. Utaanza kuona unashinda uovu na dhambi kulingana na vile unavyojikabidhi na kujiachilia kwa Yesu.

Anza leo kujikabidhi kwa yesu kwa kiasi kile unachoweza. Yesu anaelewa ubinadamu na madhaifu yetu. Atakusaidia. Hata kama kuna wakati unaweza kujikabidhi kwake na kisha unaanguka tena, yeye ni mwenye huruma na ni mwelewa haswa kuhusu hali yako, atakusaidia na kukuwezesha. Weka nia ya kujikabidhi kwake na kisha utaendelea kidogo kidogo mpaka utajikuta umejikabidhi mikononi kwake kabisa.

KUMBUKA:Β Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza, mwanga ukiwepo giza halibaki linaondoka. Hata siku moja Giza haliwezi kuuzidi mwanga

Uwe na Imani basi, Mtumainie Yesu Kristu atakushindia uovu.

Yesu ndiyo dawa ya uovu na dhambi, kila unapoanguka dhambini mkimbilie yeye naye atakusamehe na kukuwezesha kushinda dhambi na uovu. Usichoke, kila siku jaribu na kujaribu mpaka utashinda.

Nami nakuombea kwa Jina Takatifu la Yesu, Akushindie Uovu na dhambi

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 100

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Jul 19, 2024
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Jul 2, 2024
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Peter Mugendi Guest Jun 4, 2024
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest May 30, 2024
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest May 29, 2024
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ David Chacha Guest May 7, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ James Malima Guest Apr 25, 2024
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Peter Mugendi Guest Mar 4, 2024
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Jan 9, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Alice Mrema Guest Jan 9, 2024
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Dec 26, 2023
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ James Kimani Guest Dec 22, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest Oct 30, 2023
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Oct 11, 2023
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest May 27, 2023
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest May 23, 2023
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Janet Sumari Guest Jan 23, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest Jan 4, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Jan 2, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Nov 22, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Sep 21, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Kenneth Murithi Guest Jun 18, 2022
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Elizabeth Mtei Guest Mar 27, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Feb 13, 2022
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Dec 10, 2021
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Oct 3, 2021
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest Sep 21, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Sep 5, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Joseph Njoroge Guest Jul 30, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Francis Mtangi Guest Jul 12, 2021
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Feb 6, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Feb 5, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest Dec 30, 2020
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Dec 25, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest Jun 15, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest May 10, 2020
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Apr 20, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Mar 7, 2020
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ David Musyoka Guest Feb 15, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Feb 10, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest Jan 29, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Dec 16, 2019
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Sep 26, 2019
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Jul 24, 2019
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Jun 27, 2019
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest May 27, 2019
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Diana Mallya Guest May 24, 2019
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Charles Mchome Guest May 1, 2019
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Mar 29, 2019
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Mar 18, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Mar 9, 2019
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Francis Mtangi Guest Feb 28, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Charles Mrope Guest Feb 26, 2019
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Feb 18, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Feb 7, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Joseph Mallya Guest Dec 15, 2018
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Oct 15, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Daniel Obura Guest Sep 23, 2018
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Jun 24, 2018
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Alice Mwikali Guest Jun 7, 2018
Endelea kuwa na imani!

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About