Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Stephen Malecela (Guest) on July 3, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Neema (Guest) on June 7, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Mushi (Guest) on June 1, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on May 15, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 24, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwafirika (Guest) on April 4, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Mallya (Guest) on March 8, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Komba (Guest) on February 22, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Sumaya (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on December 26, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Omari (Guest) on December 18, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Edith Cherotich (Guest) on December 16, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Diana Mallya (Guest) on December 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Bakari (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elijah Mutua (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on October 9, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on August 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on July 26, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Malela (Guest) on July 23, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kawawa (Guest) on June 30, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nora Lowassa (Guest) on May 19, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Lydia Mutheu (Guest) on May 18, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Richard Mulwa (Guest) on May 12, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on April 28, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on April 15, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on March 10, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Abubakari (Guest) on March 4, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on February 22, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Christopher Oloo (Guest) on February 2, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 31, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Mwikali (Guest) on December 24, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on December 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Njeri (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Esther Cheruiyot (Guest) on October 24, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on October 19, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Kiza (Guest) on October 12, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mchome (Guest) on October 11, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on September 10, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Zawadi (Guest) on August 30, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Andrew Mahiga (Guest) on August 29, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on August 26, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Betty Kimaro (Guest) on August 18, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Faiza (Guest) on July 19, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Linda Karimi (Guest) on June 30, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samuel Were (Guest) on June 20, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on June 20, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kazija (Guest) on June 20, 2022

Asante Ackyshine

Mary Njeri (Guest) on June 17, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 13, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?