Soma vichekesho hivi;
Mwizi wa atm
Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.
Cheka kidogo
Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.
Mlizi mbio mbio
Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.
13, 13β¦
Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,β¦.. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14β¦β¦
WATAALAM
Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.
Ya leo mgonjwa
Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.
4WD
Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"
Ajali ilivyotokea
Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"
Faini ya kukojoa
Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tenaβ¦
Mume anaenda kazini
Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kaziniβ¦
Hasira za mtoto
Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.
Mgonjwa na Dokta
Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.
Pilau la bachela
Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.
Mwizi na chizi
Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.
Chemsha bongo
Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"
Bernard Oduor (Guest) on August 6, 2021
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Agnes Sumaye (Guest) on July 22, 2021
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Nicholas Wanjohi (Guest) on July 20, 2021
Napenda jokes zenu! ππ
Grace Wairimu (Guest) on July 9, 2021
Hii imenichekesha sana! π€£π
Violet Mumo (Guest) on July 7, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Josephine Nduta (Guest) on July 5, 2021
Nimefurahia hii sana! ππ
Kijakazi (Guest) on June 29, 2021
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Hashim (Guest) on May 15, 2021
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Nancy Komba (Guest) on May 12, 2021
π Umenishika vizuri!
Aziza (Guest) on April 30, 2021
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Dorothy Nkya (Guest) on April 12, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Tabitha Okumu (Guest) on April 7, 2021
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Mwalimu (Guest) on April 6, 2021
π Kichekesho kamili!
Zainab (Guest) on March 22, 2021
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Abdillah (Guest) on March 15, 2021
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Paul Ndomba (Guest) on February 25, 2021
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Janet Mbithe (Guest) on February 23, 2021
π Bado nacheka!
Charles Mchome (Guest) on February 12, 2021
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Andrew Mahiga (Guest) on February 1, 2021
Umetisha! ππ
John Malisa (Guest) on January 26, 2021
Mna talent ya jokes! ππ
Elizabeth Malima (Guest) on January 23, 2021
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Elizabeth Mtei (Guest) on January 7, 2021
π Hiyo punchline!
Stephen Kangethe (Guest) on January 1, 2021
Nimefurahia sana hii joke! π π
Anna Kibwana (Guest) on December 26, 2020
πππ
Zakia (Guest) on December 4, 2020
π€£ Hii imewaka moto!
James Kawawa (Guest) on November 15, 2020
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Elijah Mutua (Guest) on November 10, 2020
πππ
Lydia Mahiga (Guest) on November 10, 2020
Hii imenikuna! ππ
Anna Kibwana (Guest) on October 25, 2020
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Nicholas Wanjohi (Guest) on September 28, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Fikiri (Guest) on September 27, 2020
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Vincent Mwangangi (Guest) on September 14, 2020
Nimecheka hadi machozi π€£π
Josephine Nekesa (Guest) on September 7, 2020
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Janet Mwikali (Guest) on July 10, 2020
ππ€£ππ
Janet Wambura (Guest) on July 10, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Mercy Atieno (Guest) on May 29, 2020
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Elijah Mutua (Guest) on April 28, 2020
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Jackson Makori (Guest) on April 6, 2020
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Paul Ndomba (Guest) on March 22, 2020
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Mary Sokoine (Guest) on February 25, 2020
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Benjamin Masanja (Guest) on February 12, 2020
π€£ Sikutarajia hiyo!
Esther Cheruiyot (Guest) on February 2, 2020
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Wande (Guest) on January 28, 2020
π Kali sana!
Christopher Oloo (Guest) on January 8, 2020
ππ€£ππ
Janet Sumaye (Guest) on December 23, 2019
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
George Tenga (Guest) on December 17, 2019
Hii imenibamba sana! ππ
Patrick Kidata (Guest) on December 15, 2019
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
George Wanjala (Guest) on December 13, 2019
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Mary Njeri (Guest) on December 6, 2019
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Nicholas Wanjohi (Guest) on November 28, 2019
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Chris Okello (Guest) on November 9, 2019
ππ€£
Emily Chepngeno (Guest) on October 5, 2019
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Kahina (Guest) on September 25, 2019
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Paul Ndomba (Guest) on September 20, 2019
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Faith Kariuki (Guest) on September 10, 2019
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Samson Mahiga (Guest) on August 17, 2019
πππ π
Alice Jebet (Guest) on July 31, 2019
π€£ππ
Salum (Guest) on July 19, 2019
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
David Sokoine (Guest) on July 10, 2019
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Fredrick Mutiso (Guest) on June 27, 2019
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!