Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6a9373eb5c8baddf38796e928bd7a002, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6a9373eb5c8baddf38796e928bd7a002, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6a9373eb5c8baddf38796e928bd7a002, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6a9373eb5c8baddf38796e928bd7a002, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6a9373eb5c8baddf38796e928bd7a002, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Wanyama (Guest) on December 8, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Monica Nyalandu (Guest) on December 4, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Ibrahim (Guest) on November 22, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nahida (Guest) on October 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lucy Kimotho (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on September 19, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on August 28, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Kawawa (Guest) on August 27, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Irene Makena (Guest) on August 26, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on June 7, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 4, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on May 25, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Alice Mwikali (Guest) on May 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rukia (Guest) on May 14, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Richard Mulwa (Guest) on April 22, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Maimuna (Guest) on April 11, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edwin Ndambuki (Guest) on April 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Monica Adhiambo (Guest) on March 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on February 12, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mwalimu (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Akumu (Guest) on January 13, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rubea (Guest) on December 24, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 23, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Dorothy Nkya (Guest) on October 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Anna Kibwana (Guest) on September 22, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on September 16, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on September 10, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on July 17, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on July 16, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Kitine (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Stephen Kikwete (Guest) on July 12, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on May 31, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Lowassa (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Chacha (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joyce Mussa (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Catherine Naliaka (Guest) on December 28, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on December 14, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on October 29, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on October 24, 2019

😊🀣πŸ”₯

Josephine Nduta (Guest) on October 5, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on September 11, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on August 23, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on August 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on August 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Umi (Guest) on August 3, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Henry Sokoine (Guest) on June 24, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on June 18, 2019

🀣πŸ”₯😊

Henry Mollel (Guest) on June 15, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rukia (Guest) on May 24, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on May 22, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on May 21, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Neema (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Njuguna (Guest) on March 10, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Majaliwa (Guest) on February 21, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Related Posts

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6a9373eb5c8baddf38796e928bd7a002, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3