Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Wanyama (Guest) on December 8, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Monica Nyalandu (Guest) on December 4, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Ibrahim (Guest) on November 22, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nahida (Guest) on October 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lucy Kimotho (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on September 19, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on August 28, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Kawawa (Guest) on August 27, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Irene Makena (Guest) on August 26, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on June 7, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 4, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on May 25, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Alice Mwikali (Guest) on May 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rukia (Guest) on May 14, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Richard Mulwa (Guest) on April 22, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Maimuna (Guest) on April 11, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edwin Ndambuki (Guest) on April 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Monica Adhiambo (Guest) on March 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on February 12, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mwalimu (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Akumu (Guest) on January 13, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rubea (Guest) on December 24, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 23, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Dorothy Nkya (Guest) on October 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Anna Kibwana (Guest) on September 22, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on September 16, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on September 10, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on July 17, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on July 16, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Kitine (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Stephen Kikwete (Guest) on July 12, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on May 31, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Lowassa (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Chacha (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joyce Mussa (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Catherine Naliaka (Guest) on December 28, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on December 14, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on October 29, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on October 24, 2019

😊🀣πŸ”₯

Josephine Nduta (Guest) on October 5, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on September 11, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on August 23, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on August 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on August 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Umi (Guest) on August 3, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Henry Sokoine (Guest) on June 24, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on June 18, 2019

🀣πŸ”₯😊

Henry Mollel (Guest) on June 15, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rukia (Guest) on May 24, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on May 22, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on May 21, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Neema (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Njuguna (Guest) on March 10, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Majaliwa (Guest) on February 21, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Related Posts

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles