Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7711de7df5e4a5b8f030a601e9ecbc5b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.
6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
π₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπππ
π
π
π
π
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7711de7df5e4a5b8f030a601e9ecbc5b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Wazo la asubui
πPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib...
Read More
Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ...
Read More
(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia
...
Read More
Hii ndio Bongo
Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k...
Read More
Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisemaβ¦. "Baba n...
Read More
Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,
N...
Read More
Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel...
Read More
MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun...
Read More
Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa...
Read More
Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki...
Read More
Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik...
Read More
Ukiona hivyo ujue ndio hivi
Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom...
Read More
Anna Mahiga (Guest) on February 20, 2022
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Lydia Mutheu (Guest) on February 13, 2022
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Andrew Odhiambo (Guest) on January 2, 2022
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Ruth Mtangi (Guest) on December 15, 2021
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Thomas Mwakalindile (Guest) on December 4, 2021
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Violet Mumo (Guest) on November 22, 2021
π Kali sana!
Lucy Mahiga (Guest) on November 7, 2021
Nimeipenda hii joke! ππ
Janet Sumaye (Guest) on October 21, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Fikiri (Guest) on October 13, 2021
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Nancy Kabura (Guest) on September 28, 2021
Hii imenichekesha sana! π€£π
Mary Kendi (Guest) on September 17, 2021
π πππ
Jamal (Guest) on September 2, 2021
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Peter Tibaijuka (Guest) on September 1, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
James Mduma (Guest) on August 14, 2021
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
David Ochieng (Guest) on August 14, 2021
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Binti (Guest) on July 24, 2021
π Umeshinda mtandao leo!
Mwanais (Guest) on June 13, 2021
π Hii ni dhahabu!
Nicholas Wanjohi (Guest) on May 27, 2021
ππ
Benjamin Kibicho (Guest) on May 23, 2021
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Victor Kimario (Guest) on May 12, 2021
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Jane Muthui (Guest) on April 29, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
David Sokoine (Guest) on April 26, 2021
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Joseph Mallya (Guest) on April 10, 2021
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Rahma (Guest) on March 16, 2021
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Arifa (Guest) on March 8, 2021
π Umeimaliza kabisa!
Nora Lowassa (Guest) on February 16, 2021
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Daniel Obura (Guest) on February 15, 2021
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Elijah Mutua (Guest) on February 3, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Nasra (Guest) on January 14, 2021
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Zakaria (Guest) on December 27, 2020
π Nilihitaji kicheko hicho!
Stephen Malecela (Guest) on December 16, 2020
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Janet Mbithe (Guest) on December 13, 2020
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Andrew Mahiga (Guest) on November 7, 2020
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Grace Mushi (Guest) on November 5, 2020
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Andrew Mchome (Guest) on November 3, 2020
π€£ππ
Mariam Kawawa (Guest) on October 31, 2020
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Joseph Kiwanga (Guest) on October 16, 2020
Hii ni bomba sana! π€£π
Ruth Mtangi (Guest) on October 15, 2020
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Zainab (Guest) on October 1, 2020
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Thomas Mtaki (Guest) on September 25, 2020
π Hii imenigonga kweli!
Victor Sokoine (Guest) on September 13, 2020
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Lydia Mutheu (Guest) on August 27, 2020
π Umenishika vizuri!
Daudi (Guest) on August 9, 2020
π Kali sana!
John Lissu (Guest) on August 6, 2020
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Samuel Were (Guest) on August 4, 2020
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Mary Kidata (Guest) on July 23, 2020
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Joseph Mallya (Guest) on July 20, 2020
π€£πππ
Elizabeth Mrope (Guest) on July 16, 2020
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Esther Nyambura (Guest) on July 11, 2020
Huyu alikuwa na point! ππ
Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 8, 2020
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Mary Kidata (Guest) on June 28, 2020
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Zawadi (Guest) on June 22, 2020
π Bado nacheka!
Nancy Kawawa (Guest) on June 15, 2020
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
John Mushi (Guest) on June 12, 2020
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Rose Amukowa (Guest) on June 12, 2020
ππππ
Janet Wambura (Guest) on May 26, 2020
ππ
Mazrui (Guest) on May 21, 2020
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Robert Okello (Guest) on May 9, 2020
π Dhahabu ya vichekesho!
Fredrick Mutiso (Guest) on May 8, 2020
π Kali sana!
George Wanjala (Guest) on April 12, 2020
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ