Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_98a1be4bd78e3426a126b9aa2f0dd52b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_98a1be4bd78e3426a126b9aa2f0dd52b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_98a1be4bd78e3426a126b9aa2f0dd52b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_98a1be4bd78e3426a126b9aa2f0dd52b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_98a1be4bd78e3426a126b9aa2f0dd52b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Edward Chepkoech (Guest) on March 4, 2022

😊🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on March 1, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on January 16, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Janet Sumari (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Peter Mwambui (Guest) on January 2, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on December 25, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Nashon (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on November 5, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on September 30, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on September 14, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on September 6, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Habiba (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Mwalimu (Guest) on August 26, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Kawawa (Guest) on August 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Asha (Guest) on July 10, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on July 5, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 1, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on May 20, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on April 30, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Alex Nyamweya (Guest) on April 8, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on March 25, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Simon Kiprono (Guest) on March 15, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on February 25, 2021

🀣πŸ”₯😊

Elizabeth Mtei (Guest) on February 20, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on February 11, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on February 8, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lydia Wanyama (Guest) on February 2, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on January 22, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Catherine Naliaka (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaidha (Guest) on January 2, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nduta (Guest) on January 1, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Khamis (Guest) on November 9, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on November 5, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mbise (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Salum (Guest) on October 14, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Esther Cheruiyot (Guest) on October 11, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Christopher Oloo (Guest) on October 9, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Margaret Anyango (Guest) on September 20, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on September 10, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on September 8, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sharifa (Guest) on August 1, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Anna Kibwana (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 13, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on June 13, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kassim (Guest) on April 21, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on March 26, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on March 13, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 16, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Abubakar (Guest) on February 13, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ahmed (Guest) on February 8, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on January 23, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 31, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Mustafa (Guest) on December 31, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mwanahawa (Guest) on December 10, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_98a1be4bd78e3426a126b9aa2f0dd52b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3