Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisemaβ¦. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanzaβ¦" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.
Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000β¦ Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.
Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.
Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.
Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.
Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.
NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"
Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.
Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 25, 2024
πππ π€£
James Malima (Guest) on May 28, 2024
πππ π
Diana Mallya (Guest) on May 28, 2024
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Carol Nyakio (Guest) on April 9, 2024
πππ
George Tenga (Guest) on April 4, 2024
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Tabitha Okumu (Guest) on March 24, 2024
ππ π
Monica Lissu (Guest) on March 9, 2024
ππ€£
Peter Mugendi (Guest) on February 29, 2024
π Siwezi kuacha kucheka!
Bahati (Guest) on February 5, 2024
π Umeshinda mtandao leo!
Athumani (Guest) on December 21, 2023
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Michael Onyango (Guest) on December 13, 2023
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Warda (Guest) on December 1, 2023
π€£ Sikutarajia hiyo!
Monica Adhiambo (Guest) on November 26, 2023
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Joy Wacera (Guest) on November 2, 2023
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Tabitha Okumu (Guest) on October 29, 2023
πππ
Zulekha (Guest) on October 19, 2023
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Paul Kamau (Guest) on September 30, 2023
Umesema kweli! ππ
Rose Lowassa (Guest) on September 28, 2023
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Samson Mahiga (Guest) on September 20, 2023
π€£πππ
Robert Okello (Guest) on September 13, 2023
Umetisha! ππ
Benjamin Masanja (Guest) on September 5, 2023
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Joseph Kawawa (Guest) on August 29, 2023
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Rubea (Guest) on August 29, 2023
π Hii imenigonga kweli!
Maimuna (Guest) on August 22, 2023
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Nora Kidata (Guest) on July 19, 2023
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Francis Mrope (Guest) on July 7, 2023
π€£π€£π
Kenneth Murithi (Guest) on June 3, 2023
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Rubea (Guest) on May 26, 2023
π Bado nacheka!
Alice Jebet (Guest) on May 21, 2023
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Moses Mwita (Guest) on May 12, 2023
Nimefurahia hii sana! ππ
James Kimani (Guest) on May 10, 2023
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Monica Nyalandu (Guest) on May 6, 2023
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Charles Wafula (Guest) on May 3, 2023
ππ
Ann Awino (Guest) on April 25, 2023
π€£π₯π
Joy Wacera (Guest) on April 19, 2023
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Lucy Mahiga (Guest) on April 9, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Catherine Naliaka (Guest) on April 6, 2023
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Carol Nyakio (Guest) on March 20, 2023
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Rahma (Guest) on March 13, 2023
π Nalia kwa kweli hapa!
Nora Lowassa (Guest) on March 10, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Joy Wacera (Guest) on February 25, 2023
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Betty Cheruiyot (Guest) on February 4, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Rose Kiwanga (Guest) on February 2, 2023
π Umenishika vizuri!
Edwin Ndambuki (Guest) on February 2, 2023
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Ann Wambui (Guest) on January 30, 2023
Hii ni bomba sana! π€£π
Kahina (Guest) on December 28, 2022
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Edward Chepkoech (Guest) on December 25, 2022
ππ
Maulid (Guest) on October 24, 2022
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Catherine Mkumbo (Guest) on October 22, 2022
Nimeipenda hii joke! ππ
Leila (Guest) on October 9, 2022
π Kali sana!
Miriam Mchome (Guest) on September 9, 2022
ππ€£π
Alice Mrema (Guest) on September 5, 2022
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Stephen Kikwete (Guest) on August 25, 2022
Hii ni joke ya maana sana! ππ
James Mduma (Guest) on August 20, 2022
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Alice Jebet (Guest) on July 29, 2022
πππ€£
Patrick Akech (Guest) on July 18, 2022
Hii imenifurahisha sana! ππ
Stephen Kikwete (Guest) on July 2, 2022
π Umenishika vizuri!
Victor Malima (Guest) on June 30, 2022
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Mary Mrope (Guest) on June 15, 2022
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Nicholas Wanjohi (Guest) on June 14, 2022
πππ€£