Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Siri ya Yesu: Mwangaza Wa Maisha

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Siri ni hii, Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza. Giza na Mwanga havichangamani. Yesu hakai pamoja na uovu. Giza haliwezi kuzidi Mwanga. Uovu hauwezi kumzidi Yesu. Mwanga ukija giza linaondoka. Yesu akija uovu unakwisha.

Kujikabidhi Kwa Yesu Kristu Yeye Aliye Mwangaza Wa Maisha

Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza

Giza na Mwanga havichangamani. Yesu hakai pamoja na uovu.
Giza haliwezi kuzidi Mwanga. Uovu hauwezi kumzidi Yesu.
Mwanga ukija giza linaondoka. Yesu akija uovu unakwisha.

Yesu Kristu ni mwangaza wa maisha yetu, akiwepo giza lote hutoweka.
Yesu akiwepo hakuna haja ya kufukuza giza bali giza litatoweka Lenyewe.

Unapomkaribisha Yesu katika maisha yako umekaribisha mwanga katika maisha yako na utashinda dhambi na uovu kwa kuwa Yesu aliye mwanga atavifutilia mbali.

Kikubwa ni kumkaribisha Yesu katika maisha yako na kumruhusu atawale Maisha yako na kila kitu katika maisha yako. Ukiweza kuachilia yote kwa Bwana Yesu na kumpa maisha yako basi utashinda uovu/dhambi. Vile unavyojiweka karibu na Yesu ndivyo unavyoshinda dhambi na uovu wote.

Kumkabidhi Yesu MaishaΒ ni Kuamua kuishi kulingana na Mafundisho yake, kuachilia yote katika maongozi yake, kumshirikisha Yesu kwenye kila kitu katika maisha yako na Kuwa mkweli na muwazi mbele ya Yesu katika kila kitu.

Unapomkabidhi Yesu Maisha yako na vyote ulivyonavyo yeye huyatakatifuza na kuyafanya yawe kama yanavyotakiwa kuwa kitakatifu.

Changamoto kubwa kwa Wakristu ni kushindwa kujiweka Mikononi mwa Yesu kwa kuachilia yote na kukabidhi yote kwake. Wengi wanashindwa kufanya hivyo kwa sababu ya ubinafsi na uchu wa kusimama wenyewe. Wengine wanashindwa kwa sababu ya kukosa Imani. Hawana uhakika kwamba wanachokifanya wanakifanya kweli.

Lakini ukiweza kweli kumkabidhi Yesu Maisha yako, kila kitu kinakua sawa na utafanikiwa kwenye kila kitu. Utaanza kuona unashinda uovu na dhambi kulingana na vile unavyojikabidhi na kujiachilia kwa Yesu.

Anza leo kujikabidhi kwa yesu kwa kiasi kile unachoweza. Yesu anaelewa ubinadamu na madhaifu yetu. Atakusaidia. Hata kama kuna wakati unaweza kujikabidhi kwake na kisha unaanguka tena, yeye ni mwenye huruma na ni mwelewa haswa kuhusu hali yako, atakusaidia na kukuwezesha. Weka nia ya kujikabidhi kwake na kisha utaendelea kidogo kidogo mpaka utajikuta umejikabidhi mikononi kwake kabisa.

KUMBUKA:Β Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza, mwanga ukiwepo giza halibaki linaondoka. Hata siku moja Giza haliwezi kuuzidi mwanga

Uwe na Imani basi, Mtumainie Yesu Kristu atakushindia uovu.

Yesu ndiyo dawa ya uovu na dhambi, kila unapoanguka dhambini mkimbilie yeye naye atakusamehe na kukuwezesha kushinda dhambi na uovu. Usichoke, kila siku jaribu na kujaribu mpaka utashinda.

Nami nakuombea kwa Jina Takatifu la Yesu, Akushindie Uovu na dhambi

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 100

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Charles Wafula Guest Jun 6, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Jun 5, 2018
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Jun 1, 2018
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Ruth Kibona Guest May 24, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Apr 21, 2018
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Apr 4, 2018
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Mar 12, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Betty Cheruiyot Guest Feb 19, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Feb 11, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Feb 9, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest Dec 14, 2017
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Dec 7, 2017
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Dec 1, 2017
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Ruth Kibona Guest Sep 22, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Stephen Malecela Guest Sep 22, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Sep 10, 2017
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ John Mwangi Guest Jul 23, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Jun 10, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Apr 15, 2017
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Jane Malecela Guest Mar 2, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Feb 21, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Jane Muthoni Guest Dec 31, 2016
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Dec 30, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Alex Nyamweya Guest Dec 13, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Dec 1, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Nov 27, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Irene Akoth Guest Oct 18, 2016
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Samuel Were Guest Jul 29, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Mar 22, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Mar 5, 2016
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Jan 23, 2016
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Elizabeth Mtei Guest Jan 21, 2016
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Oct 26, 2015
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Aug 25, 2015
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Lydia Mzindakaya Guest Aug 12, 2015
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest Jul 11, 2015
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Jul 7, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest May 10, 2015
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Mary Njeri Guest May 8, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Apr 30, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About