Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.
Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, Noβ¦.. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.
Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendeleaβ¦..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanzaβ¦
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last monthβ¦
Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea⦠Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.
Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.
Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.
Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopitaβ¦!!!
Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje�??
James Malima (Guest) on July 14, 2022
Hii imenibamba sana! ππ
Monica Lissu (Guest) on July 13, 2022
π Nacheka hadi chini!
Esther Nyambura (Guest) on July 9, 2022
π Umenishika vizuri!
Patrick Akech (Guest) on June 23, 2022
πππ
Esther Nyambura (Guest) on May 18, 2022
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Fadhila (Guest) on May 14, 2022
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Violet Mumo (Guest) on May 9, 2022
ππ π
Rahma (Guest) on April 17, 2022
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Samson Mahiga (Guest) on March 7, 2022
πππ€£
Victor Kimario (Guest) on February 8, 2022
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
David Kawawa (Guest) on February 1, 2022
Hii imenifurahisha sana! ππ
Francis Mtangi (Guest) on January 27, 2022
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Agnes Njeri (Guest) on January 24, 2022
π€£ππ
Diana Mumbua (Guest) on January 1, 2022
Umesema kweli! ππ
Nahida (Guest) on November 14, 2021
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Hellen Nduta (Guest) on October 30, 2021
Hii ni bomba sana! π€£π
Anna Mahiga (Guest) on October 12, 2021
ππ€£ππ
Mary Sokoine (Guest) on September 13, 2021
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Joseph Mallya (Guest) on August 1, 2021
ππ
Grace Minja (Guest) on July 22, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Emily Chepngeno (Guest) on June 28, 2021
ππ€£π
Stephen Amollo (Guest) on June 26, 2021
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Andrew Mahiga (Guest) on June 24, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Vincent Mwangangi (Guest) on June 23, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
James Kimani (Guest) on June 22, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Jamila (Guest) on June 19, 2021
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
David Sokoine (Guest) on June 13, 2021
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Peter Mbise (Guest) on April 25, 2021
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Alice Mrema (Guest) on February 23, 2021
π€£π€£ππ
Hekima (Guest) on February 21, 2021
π Ninaihifadhi hii!
Hamida (Guest) on February 20, 2021
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Mwanaisha (Guest) on February 13, 2021
π Naihifadhi hii!
Lucy Mushi (Guest) on January 4, 2021
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Grace Mushi (Guest) on January 3, 2021
Hii imenichekesha sana! π€£π
Alice Jebet (Guest) on December 16, 2020
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Ruth Wanjiku (Guest) on December 6, 2020
Nimefurahia sana hii! π π
Agnes Lowassa (Guest) on November 21, 2020
ππ
Sarah Achieng (Guest) on November 7, 2020
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Faiza (Guest) on October 24, 2020
π Dhahabu ya vichekesho!
Abdillah (Guest) on October 22, 2020
π Kicheko bora ya siku!
Grace Mushi (Guest) on October 18, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Patrick Mutua (Guest) on October 8, 2020
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Chiku (Guest) on September 26, 2020
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
David Nyerere (Guest) on September 20, 2020
Nimecheka hadi machozi π€£π
Violet Mumo (Guest) on September 2, 2020
π€£ Sikutarajia hiyo!
Lydia Wanyama (Guest) on August 9, 2020
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Peter Mbise (Guest) on August 7, 2020
π Nilihitaji hii!
Brian Karanja (Guest) on July 30, 2020
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Francis Mrope (Guest) on July 17, 2020
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Brian Karanja (Guest) on June 26, 2020
ππππ
John Lissu (Guest) on June 16, 2020
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Anthony Kariuki (Guest) on May 21, 2020
Hii ni ya maana sana! ππ
Moses Kipkemboi (Guest) on May 13, 2020
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Abdullah (Guest) on May 10, 2020
π Ninacheka sana sasa hivi!
James Mduma (Guest) on April 29, 2020
Mna talent ya jokes! ππ
Betty Kimaro (Guest) on April 24, 2020
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Asha (Guest) on April 4, 2020
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Mary Mrope (Guest) on March 28, 2020
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Rahim (Guest) on March 24, 2020
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
John Lissu (Guest) on February 16, 2020
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π