Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sharon Kibiru (Guest) on June 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on May 31, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Emily Chepngeno (Guest) on May 10, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on April 21, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on April 16, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on April 15, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Diana Mumbua (Guest) on April 9, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mhina (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on March 30, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nancy Akumu (Guest) on March 20, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Richard Mulwa (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mumbua (Guest) on March 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 8, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mohamed (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Frank Macha (Guest) on February 21, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanakhamis (Guest) on January 31, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Husna (Guest) on January 30, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 29, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 23, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on December 27, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samuel Omondi (Guest) on December 22, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Rahim (Guest) on December 21, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Vincent Mwangangi (Guest) on December 15, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Halimah (Guest) on November 30, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Robert Okello (Guest) on October 27, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Issa (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Samuel Were (Guest) on October 17, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on October 3, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on September 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on September 21, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on September 6, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Sumari (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Francis Njeru (Guest) on August 31, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Catherine Naliaka (Guest) on July 12, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 3, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on June 29, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on May 26, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Moses Mwita (Guest) on May 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on April 22, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Diana Mallya (Guest) on April 1, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mtumwa (Guest) on March 26, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on March 18, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on March 17, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on March 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Ahmed (Guest) on March 12, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on February 9, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Irene Akoth (Guest) on January 11, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on January 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Francis Mtangi (Guest) on December 6, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Juma (Guest) on November 14, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Ndungu (Guest) on November 3, 2020

🀣πŸ”₯😊

James Kawawa (Guest) on October 24, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rose Amukowa (Guest) on September 15, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on August 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on July 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact