Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.
Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!
Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.
Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!
Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone
Mama akaenda na Bakari akaanza
Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya
Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya
Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu
Peter Mwambui (Guest) on September 7, 2019
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Grace Njuguna (Guest) on September 5, 2019
ππ π
Kenneth Murithi (Guest) on August 27, 2019
Nimecheka hadi machozi π€£π
Esther Nyambura (Guest) on August 16, 2019
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Mohamed (Guest) on June 23, 2019
π Kichekesho kamili!
Edward Lowassa (Guest) on June 17, 2019
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Joseph Kiwanga (Guest) on June 2, 2019
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Francis Njeru (Guest) on June 1, 2019
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
James Mduma (Guest) on May 7, 2019
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Shamsa (Guest) on May 5, 2019
π€£ Hii imewaka moto!
Lucy Kimotho (Guest) on April 30, 2019
Hii ni kali sana! ππ€£
Janet Sumari (Guest) on April 27, 2019
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Lucy Mahiga (Guest) on February 23, 2019
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Kazija (Guest) on February 9, 2019
π Nilihitaji kicheko hicho!
Samuel Were (Guest) on February 4, 2019
ππ
Rose Mwinuka (Guest) on January 12, 2019
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Richard Mulwa (Guest) on December 18, 2018
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Fadhila (Guest) on December 18, 2018
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Anthony Kariuki (Guest) on December 11, 2018
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Moses Mwita (Guest) on December 10, 2018
ππ€£ππ
David Sokoine (Guest) on December 1, 2018
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Mwinyi (Guest) on September 20, 2018
π Umenishika vizuri!
Anthony Kariuki (Guest) on September 5, 2018
ππ€£π₯
Joyce Mussa (Guest) on August 8, 2018
π ππ
Emily Chepngeno (Guest) on August 4, 2018
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Patrick Mutua (Guest) on July 28, 2018
ππ€£ππ
Samson Mahiga (Guest) on July 5, 2018
π€£π€£π
James Kimani (Guest) on July 4, 2018
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Anthony Kariuki (Guest) on June 26, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Andrew Mchome (Guest) on June 18, 2018
Napenda jokes zenu! ππ
Mwagonda (Guest) on May 27, 2018
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Nancy Akumu (Guest) on May 24, 2018
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Irene Akoth (Guest) on May 19, 2018
π Kicheko bora ya siku!
Frank Macha (Guest) on May 16, 2018
ππ€£ππ
Josephine Nduta (Guest) on May 1, 2018
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Jacob Kiplangat (Guest) on April 5, 2018
π€£ππ
Robert Okello (Guest) on March 4, 2018
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Mariam Kawawa (Guest) on February 19, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Grace Minja (Guest) on February 9, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
David Nyerere (Guest) on February 5, 2018
π Kali sana!
Nancy Kabura (Guest) on February 2, 2018
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Monica Adhiambo (Guest) on January 8, 2018
πππ π€£
Mwakisu (Guest) on December 19, 2017
π Siwezi kuacha kucheka!
Philip Nyaga (Guest) on November 22, 2017
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
David Sokoine (Guest) on November 8, 2017
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Grace Wairimu (Guest) on November 6, 2017
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Bakari (Guest) on November 6, 2017
π Hii imenigonga kweli!
Margaret Mahiga (Guest) on October 29, 2017
π Ninacheka sana sasa hivi!
Charles Mchome (Guest) on October 17, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Anna Mchome (Guest) on October 13, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Charles Mboje (Guest) on October 5, 2017
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Maimuna (Guest) on September 25, 2017
π Siwezi kuacha kucheka!
Monica Adhiambo (Guest) on September 24, 2017
π Ninashiriki mara moja!
Juma (Guest) on September 13, 2017
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Abdillah (Guest) on September 5, 2017
π Hiyo punchline!
Philip Nyaga (Guest) on September 4, 2017
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Grace Njuguna (Guest) on July 26, 2017
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Monica Adhiambo (Guest) on June 14, 2017
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Peter Mugendi (Guest) on June 13, 2017
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Stephen Kikwete (Guest) on May 24, 2017
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°