Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadi…

Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka arudishiwe mambo yake kama kawaida.

Bibi akampachika jamaa jinsia ya kike alipofika mahakamani kuhojiwa akasema mi sijampa ujauzito kwasababu minina jinsia ya kike pia…!
Kwa kuthibitisha akajifunua nguo, basi jamaa akashinda kesi.

Jamaa akawa anarudi Home, lakini wakati anakaribia kufika akaona watu wengi wamejaa home wanalia akauliza kulikoni akaambiwa "Bibi amefariki"!

Vuta picha hapo…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mrema (Guest) on May 28, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on May 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on May 15, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rehema (Guest) on March 26, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Daudi (Guest) on March 4, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

James Kimani (Guest) on February 23, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

George Mallya (Guest) on January 9, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Monica Lissu (Guest) on January 4, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Warda (Guest) on December 8, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Hamida (Guest) on November 6, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Frank Macha (Guest) on October 28, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on October 20, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on September 27, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Shabani (Guest) on September 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Kahina (Guest) on September 8, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nahida (Guest) on August 5, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 29, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on July 26, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Lucy Mushi (Guest) on June 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on June 24, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 18, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Zubeida (Guest) on June 12, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Mariam Kawawa (Guest) on May 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

George Ndungu (Guest) on April 28, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on April 20, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Shani (Guest) on March 23, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

John Lissu (Guest) on March 13, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Stephen Malecela (Guest) on February 19, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on February 6, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on January 23, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on January 8, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on January 4, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on December 30, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on December 11, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on December 7, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on November 30, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on November 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samson Mahiga (Guest) on November 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Yusra (Guest) on November 2, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Grace Majaliwa (Guest) on October 28, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rashid (Guest) on September 5, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chris Okello (Guest) on August 4, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Dorothy Nkya (Guest) on July 30, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on July 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 18, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on June 26, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Betty Kimaro (Guest) on June 22, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Mwangi (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joyce Aoko (Guest) on June 14, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on June 5, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Fadhili (Guest) on May 30, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Irene Akoth (Guest) on May 29, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on May 24, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on May 23, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mjaka (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Benjamin Kibicho (Guest) on April 13, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Mary Kendi (Guest) on April 13, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on April 12, 2017

🀣πŸ”₯😊

Related Posts

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About