Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti! then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Michael Onyango (Guest) on March 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Catherine Naliaka (Guest) on February 29, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Mchome (Guest) on February 23, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rehema (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Faith Kariuki (Guest) on January 16, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on January 15, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Carol Nyakio (Guest) on December 27, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Leila (Guest) on November 27, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nancy Akumu (Guest) on November 22, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mboje (Guest) on October 19, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 20, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on July 20, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alex Nakitare (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Maida (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Rose Mwinuka (Guest) on June 11, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Fadhili (Guest) on May 11, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on March 28, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Arifa (Guest) on February 4, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Mchome (Guest) on February 3, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Otieno (Guest) on January 28, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Martin Otieno (Guest) on January 11, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 23, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Njeri (Guest) on December 16, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Francis Mtangi (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on October 25, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on September 5, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on August 9, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on August 8, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 19, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mary Njeri (Guest) on July 19, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on July 4, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on June 18, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 30, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 20, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rahim (Guest) on April 30, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lucy Wangui (Guest) on April 22, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Shamsa (Guest) on April 20, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Paul Ndomba (Guest) on February 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on February 18, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mariam Kawawa (Guest) on February 12, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on February 7, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Fatuma (Guest) on December 14, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Linda Karimi (Guest) on December 9, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Ann Awino (Guest) on September 9, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on September 4, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Abdullah (Guest) on August 10, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Monica Nyalandu (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Hawa (Guest) on August 3, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on July 26, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwachumu (Guest) on July 16, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Catherine Mkumbo (Guest) on July 10, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on June 29, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Mahiga (Guest) on June 3, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Mwangi (Guest) on May 7, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Khalifa (Guest) on March 26, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

James Kimani (Guest) on March 19, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles