Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi PEDESHE: Samahani Mchungaji haitakuwa vizuri mimi kuchangia kanisa, fedha zangu ni haramu, huwa nazipata kwa utapeli na kuuza madawa ya kulevya. MCHUNGAJI: Yote ni heri, pesa yako tutatumia kwa kujenga eneo la choo we toa tu!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Francis Njeru (Guest) on April 13, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on April 6, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on February 15, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on February 6, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kiza (Guest) on February 4, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Shamim (Guest) on January 29, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jane Muthui (Guest) on January 13, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on December 28, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on December 27, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on December 14, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Janet Mbithe (Guest) on December 12, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Warda (Guest) on December 4, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Francis Njeru (Guest) on November 23, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Grace Njuguna (Guest) on November 20, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on November 19, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Njoroge (Guest) on November 12, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Hassan (Guest) on October 10, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Andrew Mahiga (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on August 30, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on August 16, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Amollo (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Michael Mboya (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Jane Muthui (Guest) on July 30, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Mbithe (Guest) on July 27, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jabir (Guest) on July 19, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on June 30, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

James Mduma (Guest) on June 23, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Michael Mboya (Guest) on June 18, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jane Muthoni (Guest) on June 15, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on May 17, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Kevin Maina (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Rahim (Guest) on March 21, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

David Musyoka (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on February 26, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 21, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on January 10, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 21, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Malima (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on October 17, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Carol Nyakio (Guest) on October 12, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mchome (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Amukowa (Guest) on October 10, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Alice Wanjiru (Guest) on July 28, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on July 8, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on July 1, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on June 14, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Joseph Njoroge (Guest) on May 20, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on May 20, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on May 13, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on April 28, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Sekela (Guest) on April 2, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles