Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Shamsa (Guest) on August 19, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄

Joyce Nkya (Guest) on August 14, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Patrick Akech (Guest) on August 11, 2017

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Jabir (Guest) on August 7, 2017

😂 Nalia kwa kweli hapa!

James Kimani (Guest) on August 6, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

George Ndungu (Guest) on July 31, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂

Jane Muthui (Guest) on July 17, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆

Charles Wafula (Guest) on June 8, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Janet Wambura (Guest) on June 7, 2017

Asante Ackyshine

Andrew Mahiga (Guest) on May 31, 2017

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Anna Sumari (Guest) on May 13, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Francis Mrope (Guest) on May 10, 2017

😂😅

Fredrick Mutiso (Guest) on April 26, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂

Rahim (Guest) on April 16, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Sokoine (Guest) on April 13, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂

Juma (Guest) on February 23, 2017

😆 Nacheka hadi chini!

Mwinyi (Guest) on February 15, 2017

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

Kiza (Guest) on January 10, 2017

😂 Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Wairimu (Guest) on December 26, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂

Nancy Kawawa (Guest) on December 17, 2016

😆😂👏

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2016

😂😂🤣

Lucy Mushi (Guest) on October 30, 2016

😄 Dhahabu ya vichekesho!

Rose Amukowa (Guest) on October 18, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂

Mary Sokoine (Guest) on August 29, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂

John Kamande (Guest) on August 9, 2016

Hii ni joke ya maana sana! 😂👌

Hellen Nduta (Guest) on August 1, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 15, 2016

😂 Lazima nihifadhi hii!

Diana Mumbua (Guest) on July 8, 2016

😂🤣😊😅

Rashid (Guest) on June 29, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Moses Kipkemboi (Guest) on June 15, 2016

😂👌

Christopher Oloo (Guest) on June 7, 2016

😆😂😊

Catherine Naliaka (Guest) on May 21, 2016

😆😅😂

Anna Mahiga (Guest) on May 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

Salum (Guest) on April 16, 2016

😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Kimaro (Guest) on April 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Nancy Kawawa (Guest) on April 11, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂

James Kawawa (Guest) on February 24, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅

Rose Lowassa (Guest) on February 13, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Lydia Mahiga (Guest) on January 29, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! 💰

Janet Sumari (Guest) on January 29, 2016

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Lydia Wanyama (Guest) on January 17, 2016

Napenda jokes zenu! 😊😅

Mary Kidata (Guest) on January 1, 2016

😄 Umeshinda mtandao leo!

Christopher Oloo (Guest) on November 10, 2015

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

John Mushi (Guest) on October 27, 2015

Hii imenibamba sana! 😂😅

Diana Mallya (Guest) on October 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🤣😊

Sekela (Guest) on October 4, 2015

😅 Bado ninacheka!

Mary Mrope (Guest) on September 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂

Jackson Makori (Guest) on September 13, 2015

😂 Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Athumani (Guest) on July 30, 2015

🤣 Hii imenigonga vizuri!

Mashaka (Guest) on July 17, 2015

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sarah Karani (Guest) on June 13, 2015

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Binti (Guest) on June 2, 2015

😄 Umeimaliza kabisa!

Jane Muthui (Guest) on May 19, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Jafari (Guest) on April 30, 2015

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Omari (Guest) on April 26, 2015

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Michael Onyango (Guest) on April 25, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

Related Posts

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e856aaa4ee67c6fa0942dca2bd70531c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3