Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Mrope (Guest) on March 8, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hassan (Guest) on February 14, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on February 2, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on February 2, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on January 23, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on January 13, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rehema (Guest) on December 19, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Mahiga (Guest) on November 28, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Betty Akinyi (Guest) on November 12, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on November 2, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Edwin Ndambuki (Guest) on October 28, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Fatuma (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joyce Mussa (Guest) on October 24, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on September 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nahida (Guest) on August 30, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on August 18, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on August 6, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 2, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Wanyama (Guest) on July 17, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on July 8, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on May 20, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on May 17, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Warda (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ndoto (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Fikiri (Guest) on April 28, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Mbise (Guest) on April 19, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Ann Awino (Guest) on April 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on March 11, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Shamsa (Guest) on March 1, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 29, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on February 24, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 14, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Fredrick Mutiso (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Diana Mallya (Guest) on February 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kikwete (Guest) on January 31, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on December 29, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

John Lissu (Guest) on December 29, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on November 28, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 14, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on October 21, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Majaliwa (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Hekima (Guest) on September 7, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

George Mallya (Guest) on September 3, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sofia (Guest) on August 18, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on August 14, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Daudi (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Elijah Mutua (Guest) on June 9, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on June 1, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Umi (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on May 1, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on April 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on April 5, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

James Malima (Guest) on April 5, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on April 3, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About