Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endeleaβ¦"
"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuuaβ¦.. Yesu atanisamehe?"
Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia⦠Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."
Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuuaβ¦.. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."
"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.
Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuuaβ¦.. Yesu atanisamehe na hilo?"
Kimyaaβ¦.
"Padri yesu atanisamehe?"
kimyaβ¦.
Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.
Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetuβ¦β¦."
Jane Muthui (Guest) on April 29, 2017
π Siwezi kuacha kucheka!
Andrew Mahiga (Guest) on April 18, 2017
ππ€£ππ
Khamis (Guest) on April 17, 2017
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Lucy Mahiga (Guest) on March 7, 2017
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Kevin Maina (Guest) on February 7, 2017
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Janet Wambura (Guest) on February 7, 2017
Hii imenichekesha sana! ππ
Rabia (Guest) on January 30, 2017
π Siwezi kuacha kucheka!
Maida (Guest) on January 27, 2017
π Bado nacheka!
Maida (Guest) on January 1, 2017
π Ninacheka sana sasa hivi!
Jamila (Guest) on December 20, 2016
π Ninaihifadhi hii!
Ann Awino (Guest) on November 25, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Andrew Mahiga (Guest) on November 11, 2016
π Umenishika vizuri!
Betty Akinyi (Guest) on September 27, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Sarah Achieng (Guest) on September 25, 2016
πππ€£
Edwin Ndambuki (Guest) on September 14, 2016
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Baraka (Guest) on September 8, 2016
π Ninashiriki mara moja!
Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2016
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Agnes Njeri (Guest) on September 3, 2016
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
James Kimani (Guest) on August 22, 2016
πππ€£
Ruth Wanjiku (Guest) on August 7, 2016
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Joseph Njoroge (Guest) on July 23, 2016
π€£ Hii imewaka moto!
Josephine Nduta (Guest) on July 6, 2016
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Nancy Kawawa (Guest) on June 6, 2016
ππ€£
Alex Nakitare (Guest) on June 5, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Alice Jebet (Guest) on May 31, 2016
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
James Kawawa (Guest) on May 25, 2016
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Frank Sokoine (Guest) on May 19, 2016
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Nassar (Guest) on May 13, 2016
π€£ Kichekesho bora kabisa!
George Tenga (Guest) on May 12, 2016
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Betty Akinyi (Guest) on May 12, 2016
π€£π€£ππ
Francis Mrope (Guest) on March 19, 2016
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Jane Muthoni (Guest) on March 7, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Brian Karanja (Guest) on February 7, 2016
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Frank Macha (Guest) on December 22, 2015
π Hii ni kali sana!
Abubakari (Guest) on December 21, 2015
π Nalia kwa kweli hapa!
Peter Tibaijuka (Guest) on December 20, 2015
π€£π€£ππ
Janet Wambura (Guest) on November 26, 2015
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Philip Nyaga (Guest) on November 16, 2015
Hii imenibamba sana! ππ
Kazija (Guest) on November 4, 2015
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Moses Kipkemboi (Guest) on November 1, 2015
Hii ni kali sana! ππ€£
Warda (Guest) on September 6, 2015
π Hii ni hazina ya kichekesho!
George Tenga (Guest) on August 23, 2015
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Lydia Mahiga (Guest) on August 22, 2015
π Hii ni ya kuhifadhi!
Richard Mulwa (Guest) on August 7, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Husna (Guest) on July 10, 2015
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Peter Mwambui (Guest) on June 26, 2015
πππ
Samson Tibaijuka (Guest) on June 23, 2015
π Hii ni dhahabu!
Grace Mushi (Guest) on June 18, 2015
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Mgeni (Guest) on June 10, 2015
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Elizabeth Mrema (Guest) on May 24, 2015
ππ€£ππ
Dorothy Nkya (Guest) on May 22, 2015
ππ
Robert Okello (Guest) on May 6, 2015
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Stephen Kikwete (Guest) on April 25, 2015
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
David Kawawa (Guest) on April 25, 2015
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Kevin Maina (Guest) on April 20, 2015
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Thomas Mwakalindile (Guest) on April 15, 2015
ππ€£ππ