Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0145b7087cf7c7117e204afb25fe17d0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9d83957993fb11a18a0e52c3ca2714fb, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_84c469d4e42d5f26af60499347116d92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a2969a82cd13e10b02601cc3896d9ef5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?

Mtoto: Nina akili…

Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni haya….

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Dogo: Yatabaki 19.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?

Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuu….
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_acb73a9fd59dea03d95fe07d5c4fc8e5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Lowassa (Guest) on August 7, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Catherine Mkumbo (Guest) on July 30, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 21, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on July 8, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

James Malima (Guest) on June 16, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Mwangi (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Charles Wafula (Guest) on May 29, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Josephine (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nashon (Guest) on May 7, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Lissu (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on February 27, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on February 25, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lydia Mutheu (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samuel Were (Guest) on January 30, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joyce Nkya (Guest) on January 26, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on January 7, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 6, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on December 20, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mariam Hassan (Guest) on December 20, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Samuel Were (Guest) on December 18, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ann Wambui (Guest) on December 17, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Furaha (Guest) on September 23, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

John Lissu (Guest) on July 28, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on July 18, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on July 15, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Zainab (Guest) on July 13, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Baridi (Guest) on June 21, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anna Mchome (Guest) on May 15, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on May 2, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Salma (Guest) on April 20, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Baraka (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Ruth Mtangi (Guest) on April 17, 2016

🀣πŸ”₯😊

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Ndomba (Guest) on April 12, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on April 8, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Moses Kipkemboi (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on March 17, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mwakisu (Guest) on February 21, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwalimu (Guest) on January 29, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

James Kimani (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on November 23, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Maida (Guest) on September 29, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Janet Sumari (Guest) on September 21, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on September 11, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on August 14, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 13, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on August 5, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mary Mrope (Guest) on July 23, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sofia (Guest) on June 27, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Rose Waithera (Guest) on May 26, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on April 29, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Alice Mwikali (Guest) on April 11, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mary Mrope (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_3e25b691bdafed4353f896de9237675c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3