Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.
Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?
Mtoto: Nina akiliβ¦
Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni hayaβ¦.
Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?
Dogo: Yatabaki 19.
Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.
Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.
Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.
Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.
Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?
Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.
Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?
Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.
Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?
Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.
Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuuβ¦.
ππππππππ
Rose Lowassa (Guest) on August 7, 2017
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Catherine Mkumbo (Guest) on July 30, 2017
ππ€£ππ
Joseph Kawawa (Guest) on July 21, 2017
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Paul Kamau (Guest) on July 8, 2017
π€£ Sikutarajia hiyo!
James Malima (Guest) on June 16, 2017
π Naihifadhi hii!
John Mwangi (Guest) on June 14, 2017
π Ninashiriki mara moja!
Charles Wafula (Guest) on May 29, 2017
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Josephine (Guest) on May 23, 2017
π Umenishika vizuri!
Nashon (Guest) on May 7, 2017
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
John Lissu (Guest) on March 6, 2017
πππ€£
Rose Kiwanga (Guest) on February 27, 2017
Hii imenifurahisha sana! ππ
Rose Amukowa (Guest) on February 25, 2017
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Lydia Mutheu (Guest) on February 21, 2017
πππ π
Samuel Were (Guest) on January 30, 2017
Nimecheka hadi machozi π€£π
Joyce Nkya (Guest) on January 26, 2017
Hii imenikuna! ππ
Hellen Nduta (Guest) on January 16, 2017
ππ
Patrick Kidata (Guest) on January 7, 2017
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Janet Mwikali (Guest) on January 6, 2017
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Victor Kimario (Guest) on December 20, 2016
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Mariam Hassan (Guest) on December 20, 2016
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Samuel Were (Guest) on December 18, 2016
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Ann Wambui (Guest) on December 17, 2016
π€£π€£ππ
Furaha (Guest) on September 23, 2016
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
John Lissu (Guest) on July 28, 2016
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Grace Mligo (Guest) on July 18, 2016
Nimefurahia hii sana! ππ
Paul Kamau (Guest) on July 15, 2016
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Zainab (Guest) on July 13, 2016
π Kichekesho kamili!
Baridi (Guest) on June 21, 2016
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Anna Mchome (Guest) on May 15, 2016
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Jackson Makori (Guest) on May 5, 2016
π πππ
Lucy Wangui (Guest) on May 2, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Salma (Guest) on April 20, 2016
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Baraka (Guest) on April 19, 2016
π Nimeipenda kabisa hii!
Ruth Mtangi (Guest) on April 17, 2016
π€£π₯π
Thomas Mwakalindile (Guest) on April 16, 2016
ππ
Paul Ndomba (Guest) on April 12, 2016
ππππ
Mary Mrope (Guest) on April 8, 2016
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Moses Kipkemboi (Guest) on March 28, 2016
ππ π
David Ochieng (Guest) on March 17, 2016
ππππ
Mwakisu (Guest) on February 21, 2016
π€£ Sikutarajia hiyo!
Mwalimu (Guest) on January 29, 2016
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
James Kimani (Guest) on December 7, 2015
ππ
Francis Njeru (Guest) on November 23, 2015
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Maida (Guest) on September 29, 2015
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Janet Sumari (Guest) on September 21, 2015
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Esther Cheruiyot (Guest) on September 11, 2015
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Patrick Akech (Guest) on August 14, 2015
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Grace Majaliwa (Guest) on August 13, 2015
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Peter Mbise (Guest) on August 5, 2015
π Nacheka hadi chini!
Mary Mrope (Guest) on July 23, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Sofia (Guest) on June 27, 2015
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Rose Waithera (Guest) on May 26, 2015
Mna talent ya jokes! ππ
Jackson Makori (Guest) on May 24, 2015
π ππ
Diana Mumbua (Guest) on April 29, 2015
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Alice Mwikali (Guest) on April 11, 2015
π Hii ni ya kuhifadhi!
Mary Mrope (Guest) on April 1, 2015
ππ€£ππ