Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2d646a369fcb98159c68d185aa41c1eb, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Jinsi ya kuishi maisha marefu (Mambo ya kuzingatia ili uishi maisha marefu)
Date: June 14, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Kuishi ukiwa na afya na kuishi maisha marefu kunawezekana kwa kubadili hali ya maisha unayoishi inayoharibu afya yako mfano uvutaji wa sigara, unywaji wa pombe kupita kiasi,kutokufanya mazoezi na kutokula matunda na mbogamboga.
Mambo yanayoweza kukusaidia kuishi maisha marefu ni kama yafuatayo
- Kuuandaa mwili kwa maisha marefu kwa kufanya mazoezi
- Kuwa makini kutambua na kutibu matatizo ya kiafya
- Kuepuka mazingira na kufanya kazi kwa namna au kazi zinazoweza kudhuru maisha yako. Mfano kuendesha gari bila kufuata utaratibu, kutokuvaa vifaa vya kujikinga wakati wa kazi
- Epuka vitu vyenye sumu vinavyoweza kudhuru afya yako na kukuletea matatizo ya kiafya kama dawa za mimea na mifugo, zitumie kama inavyotakiwa
- Usinywe pombe, usivute sigara wala kutumia dawa za kulevya
- Kula mlo kamili
- Usile vyakula vyenye chumvi na mafuta mengi
- Kunywa maji mengi ili kusafisha mwili
- Epuka msongo wa mawazo
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_2d646a369fcb98159c68d185aa41c1eb, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mahitaji
Mchele wa basmati - 3 Vikombe
Dengu - 2 vikombe
Viazi - 3 vikubwaRead More
Upishi na Matunda ya Mzabibu: Vitamu vyenye Antioxidants 🍇
Habari za leo wapenzi wa cha...
Read More
Mahitaji
Tambi (spaghetti 1/2 ya packet)
Mafuta (vegetable oil)
Sukari (sugar 1...
Read More
Mahitaji
Viazi ulaya 4 vya wastani
Hoho jekundu 1/2
Hoho la njano 1/2
Hoho...
Read More
Viambaupishi
Sosi Ya tuna
Tuna (samaki/jodari) 2 Vikopo
Vitunguu (kata kata) ...
Read More
Viamba upishi
Mnavu mkono 1
Kitungu 1
Karoti 2
Maziwa kikombe 1
Mafut...
Read More
Upishi wa Afya kwa Ajili ya Afya ya Moyo: Kitamu na Kilainishi 🍏💚🌽
Leo, tutazungu...
Read More
Viambaupishi
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed...
Read More
Mahitaji
Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 3/4 ya kikombe...
Read More
Sanaa ya Upishi Imara: Kupata Lishe Muhimu
Jambo hilo kuu kwa afya njema na maisha bora ni...
Read More
Vipimo
Mchele wa basmati/pishori - 4 vikombe vikubwa (mugs)
Kuku - 2
Vitnguu ...
Read More
MAHITAJI
Unga - 3 Vikombe vya chai
Baking powder - 1 ½ Vijiko vya chai
Sukar...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!