Sidebar with Floating Button
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine

Majitoleo kwa Bikira Maria

Featured Image

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na mwili wangu, nikikuomba uipokee amana yangu, kuitunzia ulinzi mwema ulinzi bora, ninakuaminia na kila neno langu, matumaini na kitulizo na kisongo chote, na masumbuko na uzima na ukomo wa uzima wangu: nitakayo ndiyo unifanyizie kwa maombezi na stahili zako, ili mambo yangu yote yapate kuongoka, yakiwa na kufuata mapenzi yako, pamoja na mapenzi ya Mwanao. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Sumaye (Guest) on August 23, 2023

Rehema zake hudumu milele

Edith Cherotich (Guest) on June 8, 2023

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Monica Adhiambo (Guest) on April 6, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Samson Mahiga (Guest) on January 19, 2023

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

James Kawawa (Guest) on January 15, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Joyce Mussa (Guest) on December 29, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Elizabeth Mtei (Guest) on October 22, 2022

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Betty Kimaro (Guest) on October 8, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Jacob Kiplangat (Guest) on September 17, 2022

Nakuombea πŸ™

Philip Nyaga (Guest) on July 2, 2022

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Sarah Karani (Guest) on April 24, 2022

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Patrick Mutua (Guest) on March 11, 2022

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

David Ochieng (Guest) on February 9, 2022

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Margaret Mahiga (Guest) on January 18, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Esther Nyambura (Guest) on November 3, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Robert Ndunguru (Guest) on September 19, 2021

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Francis Mrope (Guest) on June 4, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Daniel Obura (Guest) on May 5, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Betty Kimaro (Guest) on March 18, 2021

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Francis Mrope (Guest) on February 13, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Peter Mwambui (Guest) on November 27, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Ruth Mtangi (Guest) on October 27, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Grace Mushi (Guest) on October 17, 2020

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Janet Mwikali (Guest) on October 1, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Anna Mchome (Guest) on September 27, 2020

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Monica Nyalandu (Guest) on July 7, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Samuel Omondi (Guest) on June 27, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

James Mduma (Guest) on June 13, 2020

Baraka kwako na familia yako.

Nancy Kawawa (Guest) on April 30, 2020

Mungu ni mwema, wakati wote!

Frank Macha (Guest) on April 8, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Anna Sumari (Guest) on January 5, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Catherine Mkumbo (Guest) on November 27, 2019

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Philip Nyaga (Guest) on November 11, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Henry Mollel (Guest) on October 30, 2019

πŸ™πŸ™πŸ™

Anna Sumari (Guest) on August 2, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Monica Lissu (Guest) on July 25, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Charles Mboje (Guest) on June 23, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Rose Mwinuka (Guest) on June 22, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Samuel Were (Guest) on May 9, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

John Lissu (Guest) on April 30, 2019

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Esther Cheruiyot (Guest) on February 22, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Fredrick Mutiso (Guest) on February 10, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Betty Kimaro (Guest) on October 28, 2018

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Emily Chepngeno (Guest) on August 24, 2018

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Grace Mligo (Guest) on August 23, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Richard Mulwa (Guest) on July 29, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Janet Sumari (Guest) on July 26, 2018

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Diana Mallya (Guest) on July 5, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Simon Kiprono (Guest) on June 21, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Samson Mahiga (Guest) on April 17, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Andrew Mchome (Guest) on March 15, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Wilson Ombati (Guest) on March 4, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Betty Cheruiyot (Guest) on February 20, 2018

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Janet Sumari (Guest) on February 16, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Linda Karimi (Guest) on October 8, 2017

Mungu akubariki!

Patrick Akech (Guest) on August 26, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Mariam Hassan (Guest) on April 5, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Margaret Anyango (Guest) on April 3, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Patrick Kidata (Guest) on March 26, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Related Posts

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact