Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Nabii mmoja aliumwa
na Jino, lilimtesa sana…
Akapiga magoti kumlilia
Mungu ili amponye..
Mungu akamuonesha mti
flani ili majani yake
Yapate kumtibu..
Akaenda kwenye mti ule,
Akachukua majani yake
akatumia na kweli
akapona…
Baada ya Muda Mrefu
Kupita, nabii yule aliumwa
na Jino tena…
Safari Hii alienda
moja kwa moja kwenye mti
Na kuchuma majani yake
na kuyatumia,Lakini
hakupona..
Akaja tena Kwa Mungu
na kumwambia…
"Mbona ule mti niliutumia
Haukuniponyesha kama
Wakati ule? "
Mungu akamjibu…
"Mara ya Mwanzo ulipona
Kwa kuwa
ulinitegemea mimi, mara ya
Pili hakupona kwa kuwa
Uliutegemea Mti"..

KILA WAKATI TUNAPASWA
KUMUOMBA NA
KUMTEGEMEA MUNGU,
HATA KAMA KWA JAMBO
AMBALO ALISHATUJIBU..
KWA KUTOKUFANYA HIVYO
NDIYO MAANA MARA
KADHAA
TUNAKOSA MAFANIKIO…

✔Tulipooomba mchumba
Tulipompata
Hatukuombea Ulinzi wa
ndoa zetu, matokeo yake
Ni vilio kwenye ndoa
Karibu zote..

✔ Tuliomba watoto,
Tulipowapata
muda mwingi tukatumia
Akili zetu kuwalea
Na kusahau kumshirikisha
Mungu katika malezi yao,
mwisho wa yote
Tunaishia kusema
Watoto wa siku hizi…

✔ Tuliomba kazi kwa Mungu ,
Tulipopata tukaanza
Kutumia akili zetu katika
Kazi hizo na kuanza
Kudharau wenzetu na
Kuzisaliti ndoa
na familia zetu..
▪ Familia zinalia…
▪ Watoto wanalia
Baraka zitatoka wapi?

▪ Kabla ya Kupata kazi
Tulikuwa Hatukosi
Kanisani,
Hakukosi kwenye
Maombi…
TUMEPATA KAZI
TUMEKUWA BIZE
HAKUNA MAOMBI
WALA KANISANI..
Baraka zitokee wapi?
Mafanikio yatoke wapi?
Mshahara mkubwa
Lakini madeni kila siku,
Tena tunakopeshwa na
Tuliowazidi mshahara…

Wapendwa tustuke..
Tumrudie Mungu…
Tusisingizie uchawi..
Tumejiroga wenyewe..

Tumuweke Mungu mbele..

Tafakari chukua hatua

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
👥 Mary Sokoine Guest Jun 8, 2024
Imani inaweza kusogeza milima
👥 Alice Mwikali Guest May 3, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
👥 Anna Mahiga Guest Sep 4, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
👥 Rose Kiwanga Guest Aug 17, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
👥 George Mallya Guest Jul 6, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
👥 Samuel Were Guest May 26, 2023
Rehema hushinda hukumu
👥 Janet Wambura Guest Apr 28, 2023
Baraka kwako na familia yako.
👥 Mariam Hassan Guest Apr 19, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
👥 Joy Wacera Guest Feb 16, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
👥 Bernard Oduor Guest Feb 4, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
👥 Grace Mligo Guest Jul 21, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
👥 David Musyoka Guest May 24, 2022
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
👥 Brian Karanja Guest Mar 19, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
👥 Stephen Amollo Guest Feb 9, 2022
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
👥 Lucy Wangui Guest Oct 23, 2021
Wakati wa Mungu ni kamilifu
👥 Mary Sokoine Guest Sep 24, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
👥 Moses Kipkemboi Guest Apr 16, 2021
Katika imani, yote yanawezekana
👥 Josephine Nduta Guest Apr 3, 2021
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
👥 Victor Mwalimu Guest Mar 9, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
👥 George Ndungu Guest Jan 9, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
👥 Isaac Kiptoo Guest Sep 1, 2020
Mungu akubariki!
👥 Sarah Achieng Guest Jul 26, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
👥 Anna Mahiga Guest Jul 21, 2020
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
👥 Peter Mugendi Guest Jun 22, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
👥 Edith Cherotich Guest Apr 25, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
👥 Martin Otieno Guest Mar 24, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
👥 Mary Njeri Guest Mar 5, 2020
Tumaini ni nanga ya roho
👥 Stephen Kangethe Guest Feb 2, 2020
Sifa kwa Bwana!
👥 David Musyoka Guest Feb 1, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
👥 Charles Wafula Guest Dec 5, 2019
Dumu katika Bwana.
👥 Monica Lissu Guest Sep 2, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
👥 Ruth Kibona Guest Aug 20, 2019
Neema na amani iwe nawe.
👥 George Wanjala Guest Aug 17, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
👥 Diana Mumbua Guest Jun 15, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
👥 Joyce Aoko Guest Apr 6, 2019
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
👥 Stephen Malecela Guest Jan 5, 2019
Mungu ni mwema, wakati wote!
👥 Joseph Kawawa Guest Nov 13, 2018
Mwamini katika mpango wake.
👥 Thomas Mwakalindile Guest Mar 20, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
👥 Joyce Aoko Guest Jan 23, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
👥 Simon Kiprono Guest Nov 18, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
👥 Nora Kidata Guest Sep 21, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
👥 James Kawawa Guest Feb 23, 2017
Rehema zake hudumu milele
👥 Charles Mchome Guest Jan 10, 2017
Nakuombea 🙏
👥 Andrew Mchome Guest May 11, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
👥 Paul Ndomba Guest Apr 13, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
👥 Ruth Kibona Guest Oct 26, 2015
Mwamini Bwana; anajua njia
👥 Peter Mwambui Guest Oct 25, 2015
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
👥 Stephen Malecela Guest Sep 22, 2015
Endelea kuwa na imani!
👥 George Ndungu Guest Jun 21, 2015
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
👥 Samuel Were Guest May 8, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

🔗 Related Posts

🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About