Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Kuumbwa kwa mtu, Mungu alivyoumba binadamu

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mtu ni kiumbe pekee chenye mwili na roho kilichoumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Mungu alipotaka kumuumba mtu alisema "Tumfanye mtu kwa mfano wetu na sura yetu" (Mwa. 1:26-27)
Kuumbwa kwa sura na mfano wa Mungu maana yake tuna roho zenye akili na utashi yaani uwezo wa kutofaitisha mema na mabaya na zitakazoishi milele.
Watu wa kwanza walikua ni Adamu na Eva(Hawa), ambapo Adamu aliumbwa kwa udongo na kupuliziwa roho yenye uhai, na Eva aliumbwa kwa mfupa wa ubavu wa Adamu, akamtia roho (Mwa 2:7 na Mwa 2:21-24)
Baada ya kuumba watu Mungu aliwafundisha Dini, ambapo Dini ni mabo yatupasayo kutenda kwa Mungu Bwana wetu na Baba yetu
Mungu ametuumba ili tumjue, tumpende, tumtumikie tulipo wazima hapa duniani hata mwisho tukishakufa tuende kwake Mbinguni katika makao ya raha milele (Mwa. 2:7; Mt 19:17; Yoh 14:1-3 na Yoh 17:24).
Mungu aliwapa watu wa kwanza neema ya utakaso na neema nyingine nyingi na kukaa paradisi wenye heri bila kufa (Mwa 2:16-17), Lakini Adamu na Eva walitenda dhambi ya kutotii, wakataka kuwa kama Mungu lakini bila Mungu na pasipo kufuata maagizo ya Mungu.(Mwa 3:1-16)
Dhambi ya asili na kosa la Adamu na Eva
Adamu na Eva walitenda dhambi ya asili ambayo ni hali ya kukosa utakatifu na hali ya asili ya urafiki na Mungu ambayo kila binadamu anazaliwa nayo.
Baada ya kutenda dhambi yao ya kiburi na uasi walipewa adhabu zifuatazo;
  • Walipoteza neema ya utakaso
  • Walifukuzwa paradisini
  • Walipungukiwa na akili na kushikwa na tamaa ya kutenda dhambi
  • Walipata mahangaiko na tabu nyingi
  • Kupaswa kufa (Mwa 3:16-20; 5:5)
Baada ya kosa la Adamu Mungu aliahidi kuwaletea Mkombozi. (Mwa 3;15)
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Jul 22, 2024
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest Jul 17, 2024
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Mar 5, 2024
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Violet Mumo Guest Nov 21, 2023
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Sep 16, 2023
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Jun 23, 2023
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest Aug 7, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Alice Mrema Guest Jul 10, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Jun 29, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Faith Kariuki Guest Apr 16, 2022
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Grace Mushi Guest Mar 26, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Charles Mchome Guest Feb 24, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Feb 7, 2022
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Nov 26, 2021
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Nov 22, 2021
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ James Malima Guest May 28, 2021
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Lucy Kimotho Guest Mar 6, 2021
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Feb 15, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Nov 15, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Aug 21, 2020
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Kevin Maina Guest Jul 16, 2020
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Jun 25, 2020
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest May 10, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest May 7, 2020
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Anna Mahiga Guest Jan 20, 2020
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Sep 10, 2019
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Apr 27, 2019
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Joseph Kawawa Guest Apr 26, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Jan 23, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Jan 1, 2019
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Nov 26, 2018
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Oct 3, 2018
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Aug 6, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest May 17, 2018
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest May 4, 2018
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ James Mduma Guest Feb 18, 2018
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Apr 29, 2017
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Elijah Mutua Guest Mar 21, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Feb 25, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Lydia Mzindakaya Guest Feb 21, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest Jan 24, 2017
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest Jul 4, 2016
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Feb 17, 2016
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Dec 31, 2015
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Rose Amukowa Guest Dec 8, 2015
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Nov 26, 2015
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Agnes Sumaye Guest Aug 3, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Samuel Were Guest Jul 11, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Jun 3, 2015
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Apr 10, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About