Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6819f1db4222f281a6b2d2027b3d4d86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6819f1db4222f281a6b2d2027b3d4d86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6819f1db4222f281a6b2d2027b3d4d86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6819f1db4222f281a6b2d2027b3d4d86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6819f1db4222f281a6b2d2027b3d4d86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Carol Nyakio (Guest) on July 17, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

James Kawawa (Guest) on July 1, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on June 30, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on June 22, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on April 26, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on April 16, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 20, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwanakhamis (Guest) on March 7, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ibrahim (Guest) on February 15, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on December 27, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ibrahim (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mwinyi (Guest) on November 23, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 8, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on October 30, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rahma (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Lucy Mahiga (Guest) on August 16, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mahiga (Guest) on July 27, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Nyambura (Guest) on July 24, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Anna Kibwana (Guest) on July 4, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on May 23, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mohamed (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on April 29, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on April 28, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mary Mrope (Guest) on April 23, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Grace Wairimu (Guest) on April 18, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on February 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on February 5, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sumaya (Guest) on January 4, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Joyce Aoko (Guest) on December 17, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on December 15, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Anthony Kariuki (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Kawawa (Guest) on November 21, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on October 29, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kahina (Guest) on October 23, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Salum (Guest) on September 16, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Kevin Maina (Guest) on September 8, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mwanaisha (Guest) on August 2, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 7, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on July 4, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Azima (Guest) on June 16, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on May 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Hawa (Guest) on May 23, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

John Kamande (Guest) on May 19, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 15, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on March 27, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on March 4, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Mahiga (Guest) on March 1, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on February 18, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on February 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on February 7, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on January 14, 2022

😊🀣πŸ”₯

Mwagonda (Guest) on December 1, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on November 4, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shani (Guest) on October 14, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Related Posts

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6819f1db4222f281a6b2d2027b3d4d86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact