Sidebar with Floating Button
AckySHINE Katoliki
AckyShine

Amri za Kanisa: Mambo ya Muhimu kujua na Kuzingatia

Featured Image

Amri za Kanisa ni zipi?





Amri za kanisa ni;
1. Hudhuria Misa Takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa.
2. Funga siku ya Jumatano ya Majivu; usile nyama siku ya Ijumaa Kuu
3.Ungama dhambi zako walau mara moja kila mwaka.
4. Pokea Ekaristi Takatifu hasa wakati wa Pasaka
5. Saidia Kanisa Katoliki kwa zaka
6. Shika sheria Katoliki za ndoa.










Katika Amri ya kwanza ya Kanisa tumeamriwa nini?





Tumeamriwa tusikilize Misa kila siku ya Mungu na Sikukuu zilizoamriwa.










Sikukuu zilizoamriwa ni zipi?





Ndizo:





1. Kuzaliwa kwa Yesu - Noeli tarehe 25/12
2. Pasaka -
 Ufufuko wa Bwana Yesu
3. Kupaa Yesu —- Siku 40 baada ya Pasaka.
4. Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria 15/8
5. Sikukuu ya Watakatifu Wote 1/11










Katika Amri ya Kwanza ya kanisa tumekatazwa nini?





Tumekatazwa;
1. Kukosa Misa
2. Kufanya kazi nzito siku hizo










Kujinyima ni nini?





Kujinyima ni kujikatalia kitu ukipendacho mfano nyama, pombe, sigara, muziki, safari, maongezi n.k.










Nani ana lazima ya kufunga?





Kila Mkristo aliyetimiza miaka 14 na zaidi anapaswa kufunga kula nyama (Ijumaa kuu) na mwenye miaka zaidi ya 21 kufunga chakula. (Jumatano ya Majivu)










Siku za kufunga ni zipi? Na siku gani tumekatazwa kula nyama?





Siku za kufunga ni Jumatano ya majivu, siku za Kwaresima isipokuwa Dominika zake, na siku iliyokatazwa kula nyama ni siku ya Ijumaa kuu.










Katika Amri ya Tatu ya Kanisa tumeamriwa nini?





Katika Amri ya Tatu ya Kanisa tumeamriwa kuungama mara kwa mara walau mara moja kila mwaka










Katika Amri ya Nne ya Kanisa tumeamriwa nini?





Katika Amri ya Nne ya Kanisa tumeamriwa tupokee Ekaristi Takatifu walau mara moja kwa mwaka wakati wa pasaka.










Katika Amri ya Tano ya Kanisa tumeamriwa nini?





Katika Amri ya Tano ya Kanisa tumeamriwa kufahamu kuwa gharama za dini na za mapadre zatupasa. Yaanai wakristo walitegemeze Kanisa na wahudumu wake na hasa katika kazi ya kueneza injili.










Zaka ni nini?





Zaka ni asilimia kumi (10%) ya pato la mtu kwa mwaka ambalo anapaswa kulitoa kwa Kanisa.










Asiyelipa Zaka na michango mingine ya Kanisa ya lazima atenda dhambi gani?





Atenda dhambi kubwa: Yampasa kulipa na kuungama.










Amri ya Sita ya Kanisa Inadai nini?





Inadai kushika Sheria Takatifu Za ndoa


AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Lissu (Guest) on June 30, 2024

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Janet Mbithe (Guest) on May 2, 2024

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Edith Cherotich (Guest) on April 15, 2024

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Sarah Karani (Guest) on April 8, 2024

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Nancy Kawawa (Guest) on December 29, 2023

Nakuombea 🙏

Robert Ndunguru (Guest) on November 20, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Lydia Mutheu (Guest) on November 16, 2023

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Esther Cheruiyot (Guest) on November 3, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Benjamin Masanja (Guest) on May 22, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Agnes Njeri (Guest) on May 20, 2023

Katika imani, yote yanawezekana

Joseph Mallya (Guest) on April 15, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

George Tenga (Guest) on November 27, 2022

Rehema hushinda hukumu

Dorothy Nkya (Guest) on July 11, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Robert Ndunguru (Guest) on November 21, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Janet Sumaye (Guest) on November 7, 2021

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Ruth Kibona (Guest) on May 11, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

James Kimani (Guest) on April 6, 2021

Dumu katika Bwana.

Josephine Nduta (Guest) on March 17, 2021

Endelea kuwa na imani!

Anthony Kariuki (Guest) on October 30, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 19, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Linda Karimi (Guest) on September 24, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Chacha (Guest) on July 13, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Benjamin Masanja (Guest) on July 10, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Mahiga (Guest) on June 7, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Samuel Omondi (Guest) on March 17, 2020

Rehema zake hudumu milele

Andrew Mchome (Guest) on November 24, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Susan Wangari (Guest) on November 4, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Peter Otieno (Guest) on March 14, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Alice Wanjiru (Guest) on February 4, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 29, 2019

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Stephen Amollo (Guest) on September 4, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Edward Lowassa (Guest) on August 13, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Anna Malela (Guest) on June 28, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Nancy Kawawa (Guest) on April 5, 2018

Sifa kwa Bwana!

Joy Wacera (Guest) on March 31, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Francis Njeru (Guest) on March 25, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Mariam Hassan (Guest) on March 11, 2018

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Moses Mwita (Guest) on March 6, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Jane Muthui (Guest) on December 18, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Peter Mwambui (Guest) on December 1, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Frank Macha (Guest) on October 3, 2016

Mungu akubariki!

Elizabeth Mtei (Guest) on September 13, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Esther Cheruiyot (Guest) on September 8, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Nancy Kabura (Guest) on June 16, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Mariam Hassan (Guest) on May 28, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Andrew Odhiambo (Guest) on August 30, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lydia Wanyama (Guest) on August 25, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Victor Kimario (Guest) on July 23, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Christopher Oloo (Guest) on July 18, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Mwinuka (Guest) on May 25, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu familia na ndoa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu familia na ndoa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu familia na ndoa? Kanisa Katoliki linaamini kuwa familia n... Read More

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo... Read More

Maswali na Majibu kuhusu Marehemu

Maswali na Majibu kuhusu Marehemu

Read More

Amri ya Kumi ya Mungu: Makatazo na Amri

Amri ya Kumi ya Mungu: Makatazo na Amri

Amri ya Kumi ya Mungu inakataza nini?

Katika Amri ya Sita na Tisa Mungu ametuamuru nini?Read More

Amri Kumi za Mungu: Mambo ya Msingi unayopaswa kufahamu

Amri Kumi za Mungu: Mambo ya Msingi unayopaswa kufahamu

Amri kumi za Mungu ni zipi?

Amri ya Nane ya Mungu inatukataza nini?

Read More
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact