Amri za Kanisa ni zipi?
Amri za kanisa ni;
1. Hudhuria Misa Takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa.
2. Funga siku ya Jumatano ya Majivu; usile nyama siku ya Ijumaa Kuu
3.Ungama dhambi zako walau mara moja kila mwaka.
4. Pokea Ekaristi Takatifu hasa wakati wa Pasaka
5. Saidia Kanisa Katoliki kwa zaka
6. Shika sheria Katoliki za ndoa.
Katika Amri ya kwanza ya Kanisa tumeamriwa nini?
Tumeamriwa tusikilize Misa kila siku ya Mungu na Sikukuu zilizoamriwa.
Sikukuu zilizoamriwa ni zipi?
Ndizo:
1. Kuzaliwa kwa Yesu - Noeli tarehe 25/12 Ufufuko wa Bwana Yesu
2. Pasaka -
3. Kupaa Yesu —- Siku 40 baada ya Pasaka.
4. Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria 15/8
5. Sikukuu ya Watakatifu Wote 1/11
Katika Amri ya Kwanza ya kanisa tumekatazwa nini?
Tumekatazwa;
1. Kukosa Misa
2. Kufanya kazi nzito siku hizo
Kujinyima ni nini?
Kujinyima ni kujikatalia kitu ukipendacho mfano nyama, pombe, sigara, muziki, safari, maongezi n.k.
Nani ana lazima ya kufunga?
Kila Mkristo aliyetimiza miaka 14 na zaidi anapaswa kufunga kula nyama (Ijumaa kuu) na mwenye miaka zaidi ya 21 kufunga chakula. (Jumatano ya Majivu)
Siku za kufunga ni zipi? Na siku gani tumekatazwa kula nyama?
Siku za kufunga ni Jumatano ya majivu, siku za Kwaresima isipokuwa Dominika zake, na siku iliyokatazwa kula nyama ni siku ya Ijumaa kuu.
Katika Amri ya Tatu ya Kanisa tumeamriwa nini?
Katika Amri ya Tatu ya Kanisa tumeamriwa kuungama mara kwa mara walau mara moja kila mwaka
Katika Amri ya Nne ya Kanisa tumeamriwa nini?
Katika Amri ya Nne ya Kanisa tumeamriwa tupokee Ekaristi Takatifu walau mara moja kwa mwaka wakati wa pasaka.
Katika Amri ya Tano ya Kanisa tumeamriwa nini?
Katika Amri ya Tano ya Kanisa tumeamriwa kufahamu kuwa gharama za dini na za mapadre zatupasa. Yaanai wakristo walitegemeze Kanisa na wahudumu wake na hasa katika kazi ya kueneza injili.
Zaka ni nini?
Zaka ni asilimia kumi (10%) ya pato la mtu kwa mwaka ambalo anapaswa kulitoa kwa Kanisa.
Asiyelipa Zaka na michango mingine ya Kanisa ya lazima atenda dhambi gani?
Atenda dhambi kubwa: Yampasa kulipa na kuungama.
Amri ya Sita ya Kanisa Inadai nini?
Inadai kushika Sheria Takatifu Za ndoa
Monica Lissu (Guest) on June 30, 2024
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Janet Mbithe (Guest) on May 2, 2024
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Edith Cherotich (Guest) on April 15, 2024
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Sarah Karani (Guest) on April 8, 2024
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Nancy Kawawa (Guest) on December 29, 2023
Nakuombea 🙏
Robert Ndunguru (Guest) on November 20, 2023
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Lydia Mutheu (Guest) on November 16, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Esther Cheruiyot (Guest) on November 3, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Benjamin Masanja (Guest) on May 22, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Agnes Njeri (Guest) on May 20, 2023
Katika imani, yote yanawezekana
Joseph Mallya (Guest) on April 15, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
George Tenga (Guest) on November 27, 2022
Rehema hushinda hukumu
Dorothy Nkya (Guest) on July 11, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Robert Ndunguru (Guest) on November 21, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Janet Sumaye (Guest) on November 7, 2021
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Ruth Kibona (Guest) on May 11, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
James Kimani (Guest) on April 6, 2021
Dumu katika Bwana.
Josephine Nduta (Guest) on March 17, 2021
Endelea kuwa na imani!
Anthony Kariuki (Guest) on October 30, 2020
Tumaini ni nanga ya roho
Nicholas Wanjohi (Guest) on October 19, 2020
Mwamini Bwana; anajua njia
Linda Karimi (Guest) on September 24, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
David Chacha (Guest) on July 13, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Benjamin Masanja (Guest) on July 10, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Anna Mahiga (Guest) on June 7, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Samuel Omondi (Guest) on March 17, 2020
Rehema zake hudumu milele
Andrew Mchome (Guest) on November 24, 2019
Mwamini katika mpango wake.
Susan Wangari (Guest) on November 4, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Peter Otieno (Guest) on March 14, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Alice Wanjiru (Guest) on February 4, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Lydia Mzindakaya (Guest) on January 29, 2019
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Stephen Amollo (Guest) on September 4, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Edward Lowassa (Guest) on August 13, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Anna Malela (Guest) on June 28, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
Nancy Kawawa (Guest) on April 5, 2018
Sifa kwa Bwana!
Joy Wacera (Guest) on March 31, 2018
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Francis Njeru (Guest) on March 25, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
Mariam Hassan (Guest) on March 11, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Moses Mwita (Guest) on March 6, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Jane Muthui (Guest) on December 18, 2017
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Peter Mwambui (Guest) on December 1, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Frank Macha (Guest) on October 3, 2016
Mungu akubariki!
Elizabeth Mtei (Guest) on September 13, 2016
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Esther Cheruiyot (Guest) on September 8, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Nancy Kabura (Guest) on June 16, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
Mariam Hassan (Guest) on May 28, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Andrew Odhiambo (Guest) on August 30, 2015
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Lydia Wanyama (Guest) on August 25, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Victor Kimario (Guest) on July 23, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Christopher Oloo (Guest) on July 18, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Rose Mwinuka (Guest) on May 25, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia