Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Amri za Kanisa: Mambo ya Muhimu kujua na Kuzingatia

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Amri za Kanisa ni zipi?

Amri za kanisa ni;
1. Hudhuria Misa Takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa.
2. Funga siku ya Jumatano ya Majivu; usile nyama siku ya Ijumaa Kuu
3.Ungama dhambi zako walau mara moja kila mwaka.
4. Pokea Ekaristi Takatifu hasa wakati wa Pasaka
5. Saidia Kanisa Katoliki kwa zaka
6. Shika sheria Katoliki za ndoa.


Katika Amri ya kwanza ya Kanisa tumeamriwa nini?

Tumeamriwa tusikilize Misa kila siku ya Mungu na Sikukuu zilizoamriwa.


Sikukuu zilizoamriwa ni zipi?

Ndizo:

1. Kuzaliwa kwa YesuΒ - Noeli tarehe 25/12
2. Pasaka -
Β Ufufuko wa Bwana Yesu
3. Kupaa Yesu β€”- Siku 40 baada ya Pasaka.
4. Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria 15/8
5. Sikukuu ya Watakatifu Wote 1/11


Katika Amri ya Kwanza ya kanisa tumekatazwa nini?

Tumekatazwa;
1. Kukosa Misa
2. Kufanya kazi nzito siku hizo


Kujinyima ni nini?

Kujinyima ni kujikatalia kitu ukipendacho mfano nyama, pombe, sigara, muziki, safari, maongezi n.k.


Nani ana lazima ya kufunga?

Kila Mkristo aliyetimiza miaka 14 na zaidi anapaswa kufunga kula nyama (Ijumaa kuu) na mwenye miaka zaidi ya 21 kufunga chakula. (Jumatano ya Majivu)


Siku za kufunga ni zipi? Na siku gani tumekatazwa kula nyama?

Siku za kufunga ni Jumatano ya majivu, siku za Kwaresima isipokuwa Dominika zake, na siku iliyokatazwa kula nyama ni siku ya Ijumaa kuu.


Katika Amri ya Tatu ya Kanisa tumeamriwa nini?

Katika Amri ya Tatu ya Kanisa tumeamriwa kuungama mara kwa mara walau mara moja kila mwaka


Katika Amri ya Nne ya Kanisa tumeamriwa nini?

Katika Amri ya Nne ya Kanisa tumeamriwa tupokee Ekaristi Takatifu walau mara moja kwa mwaka wakati wa pasaka.


Katika Amri ya Tano ya Kanisa tumeamriwa nini?

Katika Amri ya Tano ya Kanisa tumeamriwa kufahamu kuwa gharama za dini na za mapadre zatupasa. Yaanai wakristo walitegemeze Kanisa na wahudumu wake na hasa katika kazi ya kueneza injili.


Zaka ni nini?

Zaka ni asilimia kumi (10%) ya pato la mtu kwa mwaka ambalo anapaswa kulitoa kwa Kanisa.


Asiyelipa Zaka na michango mingine ya Kanisa ya lazima atenda dhambi gani?

Atenda dhambi kubwa: Yampasa kulipa na kuungama.


Amri ya Sita ya Kanisa Inadai nini?

Inadai kushika Sheria Takatifu Za ndoa

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Monica Lissu Guest Jun 30, 2024
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest May 2, 2024
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Apr 15, 2024
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Apr 8, 2024
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Dec 29, 2023
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Nov 20, 2023
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Nov 16, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Nov 3, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest May 22, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest May 20, 2023
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Joseph Mallya Guest Apr 15, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ George Tenga Guest Nov 27, 2022
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Dorothy Nkya Guest Jul 11, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Nov 21, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Nov 7, 2021
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Ruth Kibona Guest May 11, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ James Kimani Guest Apr 6, 2021
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Mar 17, 2021
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Oct 30, 2020
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Oct 19, 2020
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest Sep 24, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ David Chacha Guest Jul 13, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Jul 10, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Anna Mahiga Guest Jun 7, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Mar 17, 2020
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Andrew Mchome Guest Nov 24, 2019
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Nov 4, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Mar 14, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Feb 4, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Lydia Mzindakaya Guest Jan 29, 2019
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Sep 4, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Aug 13, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Jun 28, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Apr 5, 2018
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Mar 31, 2018
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest Mar 25, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Mar 11, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Moses Mwita Guest Mar 6, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest Dec 18, 2017
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Dec 1, 2016
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Frank Macha Guest Oct 3, 2016
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Elizabeth Mtei Guest Sep 13, 2016
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Sep 8, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Jun 16, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest May 28, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Andrew Odhiambo Guest Aug 30, 2015
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Lydia Wanyama Guest Aug 25, 2015
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Jul 23, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Jul 18, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest May 25, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About