Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
1.Kumdhuru baba mtakatifu kimwili mfano:kumpiga au kumtemea mate
2.Kukufuru Ekaristi Takatifu mfano kutema na kuchezea kwa namna yoyote kama ya kishirikina.
3.Padri kutenda dhambi na muumini mfano : kuzini
4.Askofu kumpa padre uaskofu padre yeyote bila ruhusa ya baba mtakatifu.
NB:jiandae kufanya kitubio kama unaguswa na dhambi yoyote kati ya hizo kwani kuna mchakato maalumu wa kuteuliwa kwa mapadre zaidi ya 800 na baba mtakatifu kwenda dunia zima kwa kuwaondolea watu wenye dhambi hizo. Tumsifu Yesu Kristu πŸ™πŸΏ
Kuhusu dhambi namba 3 inakosa tu maelezo.Na maelezo yake ni haya;
Padre kuzini na muumini hiyo inabaki kuwa ni dhambi Kati ya Padre na muumini wake.Kwa dhambi hiyo Padre anaweza akatafuta Padre mwenzake akaungama kadhalika na kwa muumini huyo.
Shida ni pale tu endapo,Padre anataka KUMUUNGAMISHA mwanamke (muumini) aliyetoka KUZINI naye au yule ANAYEZINI naye hiyo dhambi na kosa hilo hata Askofu wako hana mamlaka ya kukuungamisha wala kukusamehe ni kiti cha Baba Mtakatifu pekee chini ya Congregatio inayoshughulikia mambo matakatifu iitwayo kwa kifupi CDF yaani Congregation for Doctrine of Faith.
Ambayo inashughulikia na mambo mawili hasa makuu yaani;
1.Protection of Sanctity of Sacraments
2.Dealing with Grave Disorders and bad conducts in the Church.
Kwa ufupi ndio hivyo ninaweza kukwambia.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest Jun 26, 2024
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Apr 28, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Aug 29, 2023
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Nora Kidata Guest Jun 23, 2023
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest Jun 16, 2023
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest Jun 5, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest May 9, 2023
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Francis Mtangi Guest Jan 9, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Nov 6, 2022
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Oct 26, 2022
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Joseph Kitine Guest Jul 20, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ David Ochieng Guest Jul 1, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Kevin Maina Guest Apr 9, 2022
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest Mar 11, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Mary Kidata Guest Mar 8, 2022
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest Feb 26, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Feb 22, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Dec 13, 2021
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Isaac Kiptoo Guest Sep 29, 2021
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Andrew Mchome Guest Jul 2, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Michael Mboya Guest Feb 25, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Dorothy Majaliwa Guest Dec 8, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Apr 8, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Diana Mallya Guest Dec 22, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Dec 12, 2019
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Jul 10, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ John Malisa Guest Mar 4, 2019
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest Feb 5, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Dec 16, 2018
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest Nov 24, 2018
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Sep 17, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ John Mwangi Guest Sep 9, 2018
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Joseph Njoroge Guest Aug 18, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Monica Lissu Guest May 15, 2018
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Feb 24, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Nora Kidata Guest Nov 15, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Aug 27, 2017
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest May 7, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest May 2, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Diana Mallya Guest Jan 10, 2017
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Charles Mchome Guest Jul 27, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Jul 5, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Jackson Makori Guest May 23, 2016
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Apr 16, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Apr 13, 2016
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Dec 22, 2015
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest Oct 16, 2015
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ John Lissu Guest Sep 23, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Sep 13, 2015
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest Aug 14, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About