Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi ni kama Ifuatavyo;

Ibada

Ibada mara nyingi huusisha matendo ya kipekee. Ibada inaweza kuwa ya kuabudu, kusifu, kuomba toba na kushukuru

Mfano wa ibada ni, Ibada ya Ijumaa kuu, Ibada ya kuabudu sakramenti kuu

Sadaka

Ni majitoleo kwa Mungu kwa nia ya kuomba, kushukuru, zawadi au kutakasa.

Sadaka ninayoiongelea hapa ni sadaka tofauti na hela/pesa ambayo inapotolewa hupewa binadamu mwingine na sio Moja kwa moja kwa mlengwa (Mungu). Sadaka ninayoiongelea mimi ni sadaka mfano wa ile ya Kaini na Abeli, Mfano wa ile ya Ibrahimu, Mfano wa sadaka alizotoa Musa Jangwani. Naongelea sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya damu ya kuchinjwa.

Sadaka hii inatolewa knisani kwenye adhimisho la ibada ya misa takatifu pale padri anapotolea mkate na divai na kuigeuza kuwa mwili na damu ya kristu.

Kinachofanyika hapa ni matoleo ya sadaka ya mwili na damu ya Yesu aliyoitoa pale msalabani, Pale Mkate na divai vinapogeuzwa mwili na damu ya Yesu basi ni ishara ya Sadaka ya mwili na damu aliyoitoa Yesu.

Mfano wa sadaka ni inapofanyika mageuzi ya Ekaristi pekee bila kwenda na mtiririko wa Misa

Sala

Sala ni kuongea kwa sauti au kimya, kwa nia ya kuomba, kushukuru, kusifu au kutafakari.

Sala inaweza ikawa sala za maombi, shukrani, sifa au tafakari

Mfano wa sala ni, jumuiya za kikatoliki zinapokutana, Sala za kawaida za kila siku mfano Asubuhi, mchana, Jioni

Kumbuka: Sala sio maombi. Sala ni zaidi ya maombi. Sala inaweza ikawa tafakari, maombi, sifa au shukrani

Umuhimu wa Ibada ya misa ya kikatoliki

Ibada ya misa ya kikatoliki imechukua nafasi ya vyote hivi vitatu, sala/maombi, sadaka na ibada. Ukishiriki misa ya Katoliki ni sawa na umeshiriki Ibada, Sawa na umeshiriki maombi na ni Sawa na umeshiriki Sadaka.

Tofauti kati ya misa ya kikatoliki na ibada za madhehebu mengine

Madhehebu menginehayachukui yote mfano inaweza ikawa imefanyika ibada tuu, na maombi bila sadaka.

Kwa hiyo unapohudhuria na kushiriki ibada ambayo sio ya kikatoliki, unakua hujakamilisha misa bali ni ibada na maombi tuu. Unakua umekosa sadaka yani sadaka ya mwili na damu ya Kristu.

Ndiyo maana unatakiwa uudhurie Ibada ya Misa Takatifu ya Kikatoliki.

Tags: huusisha ibada ijumaa inaweza kati kipekee. kristu.. kuabudu kuomba kushukuru kusifu kuu kuwa mara matendo mfano na ni nyingi sadaka sakramenti sala/maombi toba tofauti tumsifu wa ya yesu.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Jun 29, 2024
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Jun 23, 2024
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Feb 19, 2024
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Feb 10, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ John Kamande Guest Nov 12, 2023
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Oct 6, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Jun 30, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Jun 25, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Charles Mchome Guest May 20, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest May 6, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest May 5, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Feb 22, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Feb 8, 2023
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Feb 6, 2023
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest Dec 29, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Nov 4, 2022
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Sep 1, 2022
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Elizabeth Mtei Guest Jan 20, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Dec 24, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Margaret Anyango Guest Oct 18, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Mar 31, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Agnes Sumaye Guest Dec 9, 2020
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest Nov 16, 2020
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Oct 4, 2020
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Jun 12, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest Apr 18, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest Mar 27, 2020
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Jan 3, 2020
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest Dec 5, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Alice Mrema Guest Oct 18, 2019
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Frank Macha Guest Jun 18, 2019
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest May 19, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Francis Mtangi Guest Apr 7, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Feb 2, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Peter Mugendi Guest Oct 8, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ George Tenga Guest Jul 20, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Charles Wafula Guest May 28, 2018
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Jane Malecela Guest Apr 9, 2018
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Feb 27, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Nov 2, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Aug 3, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Lydia Mzindakaya Guest Jun 29, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Jun 1, 2017
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Apr 10, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Rose Amukowa Guest Mar 16, 2017
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Mar 4, 2017
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Jul 24, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Joseph Kitine Guest Jul 14, 2016
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Dec 28, 2015
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest Aug 27, 2015
Katika imani, yote yanawezekana

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About