Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Duh. mjamzito ana kazi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

 

236 💬 ⬇️

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

237 💬 ⬇️

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Featured Image
236 💬 ⬇️

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Featured Image
236 💬 ⬇️

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Featured Image
238 💬 ⬇️

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia 😂😂😂

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Featured Image
236 💬 ⬇️

Staili nyingine za michepuko ni shida

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About