Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa. MKE; Ilikuaje wewe ukapona? MUME; Nilikua chooni jirani na ofisi najisaidia. MKE; Loh maskini, familia zao itakuaje? MUME; Watalipwa million 100 kila mfiwa. MKE; KWA HASIRA, Ona sasa na wewe kunya kunya kwako umetukosesha mihela.. Ungeenda kunya akhera.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarah Achieng (Guest) on July 2, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on June 26, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

James Mduma (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Musyoka (Guest) on May 18, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Stephen Kikwete (Guest) on May 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on May 1, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on May 1, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on April 16, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on April 15, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mwajuma (Guest) on March 12, 2024

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on February 16, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Alex Nakitare (Guest) on January 8, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on January 3, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Alice Jebet (Guest) on December 27, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on December 4, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on December 3, 2023

Asante Ackyshine

Mwinyi (Guest) on November 23, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Charles Mchome (Guest) on November 5, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kassim (Guest) on November 3, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Philip Nyaga (Guest) on October 18, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Faith Kariuki (Guest) on October 4, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on September 8, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on August 30, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on July 30, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Shabani (Guest) on July 24, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mbise (Guest) on July 23, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Sokoine (Guest) on July 20, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on July 15, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on May 27, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Hellen Nduta (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Francis Mtangi (Guest) on March 27, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Monica Adhiambo (Guest) on March 21, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on March 6, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on February 23, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Francis Mrope (Guest) on February 18, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Alice Wanjiru (Guest) on February 7, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 21, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on December 28, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on November 28, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwalimu (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Sofia (Guest) on November 16, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Paul Ndomba (Guest) on November 9, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on November 8, 2022

🀣πŸ”₯😊

Salum (Guest) on November 7, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Bakari (Guest) on October 29, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Samuel Omondi (Guest) on October 12, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mohamed (Guest) on September 22, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Francis Mtangi (Guest) on September 16, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Fadhila (Guest) on September 11, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Janet Wambura (Guest) on September 10, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on August 1, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on July 24, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on July 24, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anna Mchome (Guest) on July 12, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Nashon (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Kenneth Murithi (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Mwalimu (Guest) on June 23, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Tabu (Guest) on May 31, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Related Posts

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More