Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Featured Image

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..


Kwa wanywaji wazuri wa bia,

chupa ya kwanza 🍺 huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.

chupa ya pili 🍺🍺 kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi….

Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.

Bia ya tatu 🍺🍺🍺 huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza…..

Bia ya nne 🍺🍺🍺🍺 huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.

Bia ya tano 🍺🍺🍺🍺🍺 ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; β€˜Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au β€˜ Mume wangu sijui yukoje hanijali’

Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.

Kuanzia bia ya sita 🍺🍺🍺🍺🍺🍺 na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana. ……. …Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni.

Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjika…….
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kenneth Murithi (Guest) on June 27, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on May 22, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on April 25, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Chris Okello (Guest) on April 18, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on April 17, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ramadhan (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Yahya (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mercy Atieno (Guest) on February 27, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on February 17, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on January 12, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on December 10, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on November 9, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anna Mahiga (Guest) on October 24, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Janet Wambura (Guest) on September 27, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 10, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Peter Mbise (Guest) on September 7, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jamila (Guest) on August 28, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Alice Wanjiru (Guest) on August 19, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Yahya (Guest) on August 14, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Juma (Guest) on August 3, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Faith Kariuki (Guest) on July 31, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on July 29, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on July 18, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Latifa (Guest) on July 13, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on July 12, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Samuel Omondi (Guest) on June 29, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Lucy Kimotho (Guest) on June 26, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Salima (Guest) on June 25, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Waithera (Guest) on June 24, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on June 22, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on June 16, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on June 9, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on February 23, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on January 31, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on December 20, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Edith Cherotich (Guest) on December 15, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on October 25, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Chris Okello (Guest) on September 10, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Malisa (Guest) on August 6, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

George Wanjala (Guest) on July 13, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Peter Mwambui (Guest) on July 11, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on June 18, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on May 22, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on April 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mahiga (Guest) on February 17, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on February 16, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on January 12, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mjaka (Guest) on January 5, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elizabeth Mrope (Guest) on December 25, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on November 23, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Alex Nakitare (Guest) on November 8, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on November 6, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3