Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Kipkemboi (Guest) on July 22, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Aziza (Guest) on July 8, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Rose Amukowa (Guest) on June 24, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mchawi (Guest) on June 18, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on June 7, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on June 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on May 21, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on April 29, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Jacob Kiplangat (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anna Mahiga (Guest) on April 8, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Yusra (Guest) on March 18, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Shamim (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Isaac Kiptoo (Guest) on February 7, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on January 24, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Wambura (Guest) on January 22, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on January 5, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on November 12, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on November 9, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 6, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on October 14, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on September 3, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on August 14, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 13, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on August 10, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on July 22, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on July 10, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Victor Kamau (Guest) on July 2, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on June 27, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 21, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Mrema (Guest) on June 7, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Wilson Ombati (Guest) on June 1, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on May 30, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on May 12, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Warda (Guest) on April 28, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Martin Otieno (Guest) on April 27, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Patrick Mutua (Guest) on April 19, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on April 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on April 3, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Edith Cherotich (Guest) on April 2, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alex Nyamweya (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Malecela (Guest) on January 3, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joy Wacera (Guest) on December 10, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Edward Chepkoech (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on November 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on November 2, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Salima (Guest) on October 27, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Jane Malecela (Guest) on October 25, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on October 23, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on October 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

John Mwangi (Guest) on August 23, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Elizabeth Malima (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Kidata (Guest) on July 26, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on July 3, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdillah (Guest) on June 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Muslima (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

David Kawawa (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Akoth (Guest) on March 14, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact