Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Unakumbuka haya enzi za shule?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπŸ˜‚
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπŸ˜‚
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπŸ˜†
πŸ˜‚
Dah shule zetu hizi kiboko!!

Ipi umeipitia wewe
Share na wengine

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Sumari (Guest) on February 23, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on February 14, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on December 13, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on November 16, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Rose Mwinuka (Guest) on November 5, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alice Mrema (Guest) on October 3, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on September 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 15, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on September 9, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Alex Nakitare (Guest) on August 30, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on August 6, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on July 9, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Chris Okello (Guest) on June 29, 2021

🀣πŸ”₯😊

Catherine Naliaka (Guest) on June 23, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Kimani (Guest) on June 3, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on May 29, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 13, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Chris Okello (Guest) on May 10, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Wambura (Guest) on May 2, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Mduma (Guest) on April 12, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 19, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on March 19, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on March 12, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on February 1, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Mallya (Guest) on January 27, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

John Mushi (Guest) on January 27, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Mwinuka (Guest) on January 3, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Chris Okello (Guest) on December 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on December 23, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on December 5, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on December 5, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on October 27, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on October 21, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Muslima (Guest) on October 18, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on September 27, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on September 2, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwachumu (Guest) on August 17, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Peter Mwambui (Guest) on July 15, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on July 10, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Rose Waithera (Guest) on June 15, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nchi (Guest) on June 7, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Malecela (Guest) on April 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Biashara (Guest) on April 23, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 13, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on March 18, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Nkya (Guest) on March 18, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on February 18, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Hawa (Guest) on December 15, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Janet Sumari (Guest) on December 15, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwanaisha (Guest) on December 6, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on November 29, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Fikiri (Guest) on November 24, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on November 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chiku (Guest) on November 4, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Josephine Nduta (Guest) on October 30, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Henry Sokoine (Guest) on October 23, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About