Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiyaβ¦sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!
MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"
MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"
"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisaβ¦.papai jamani"
KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"
"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!β¦Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"
RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"
Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"
Kimyaaaβ¦
Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!β¦β¦..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"
WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"
MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!β¦.ofa nyingineeee!"
Kimyaaaβ¦
Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!β¦ofa nyinginee!
Kimyaaaβ¦.
Kimyaaaβ¦.
πππβ¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balanceβ¦sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπ(mama wee Mosha anachezea Simu!)β¦..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)β¦..mama weeeπ
MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!
Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maitiβ¦.kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John Cenaπβ¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimiβ¦.Chicken wings zinataka kutokea Masikioniβ¦..Uuuuwiiiii,πππ
Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na Tomatoπππππ.
chiel wie okee
Yusra (Guest) on October 8, 2021
π Kichekesho kamili!
Peter Mwambui (Guest) on September 12, 2021
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Janet Mwikali (Guest) on September 6, 2021
Hii imenichekesha sana! ππ
Ahmed (Guest) on September 2, 2021
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Elijah Mutua (Guest) on August 31, 2021
ππ π
Irene Akoth (Guest) on August 24, 2021
Nimeipenda hii joke! ππ
Bernard Oduor (Guest) on July 28, 2021
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Peter Mwambui (Guest) on July 5, 2021
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Nancy Komba (Guest) on May 23, 2021
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Carol Nyakio (Guest) on May 15, 2021
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Ndoto (Guest) on May 8, 2021
π Nacheka hadi nalia!
David Chacha (Guest) on May 1, 2021
Hii imenichekesha sana! π€£π
Betty Cheruiyot (Guest) on April 11, 2021
π Nilihitaji hii!
Mariam Kawawa (Guest) on March 31, 2021
π€£π€£ππ
Azima (Guest) on March 26, 2021
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Chiku (Guest) on March 14, 2021
π€£ Hii imewaka moto!
Faith Kariuki (Guest) on March 1, 2021
Asante Ackyshine
Bakari (Guest) on February 24, 2021
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Anna Mahiga (Guest) on February 23, 2021
π€£π₯π
Maulid (Guest) on February 15, 2021
π Nitaiiba hii bila shaka!
Nancy Kabura (Guest) on January 2, 2021
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Joseph Kiwanga (Guest) on December 28, 2020
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Thomas Mtaki (Guest) on December 28, 2020
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Benjamin Masanja (Guest) on December 20, 2020
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Chris Okello (Guest) on November 29, 2020
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Ann Awino (Guest) on November 17, 2020
Nimefurahia sana hii! π π
Patrick Mutua (Guest) on November 13, 2020
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Miriam Mchome (Guest) on November 12, 2020
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Mary Sokoine (Guest) on November 1, 2020
πππ
Michael Mboya (Guest) on October 17, 2020
π Hii ni dhahabu!
Diana Mallya (Guest) on September 27, 2020
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
James Kawawa (Guest) on September 13, 2020
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Dorothy Nkya (Guest) on September 6, 2020
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on August 20, 2020
π Kali sana!
Joyce Nkya (Guest) on August 15, 2020
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
John Mushi (Guest) on August 6, 2020
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Alice Jebet (Guest) on July 16, 2020
Hii ni bomba sana! π€£π
Fikiri (Guest) on July 12, 2020
π Nalia kwa kweli hapa!
Francis Mtangi (Guest) on July 9, 2020
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Grace Minja (Guest) on July 5, 2020
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Janet Sumaye (Guest) on June 19, 2020
Hii imenifurahisha sana! ππ
James Malima (Guest) on May 27, 2020
ππ€£ππ
Grace Njuguna (Guest) on May 25, 2020
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Jaffar (Guest) on May 7, 2020
π Kicheko bora ya siku!
Andrew Odhiambo (Guest) on May 6, 2020
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Simon Kiprono (Guest) on April 12, 2020
ππ€£ππ
Faith Kariuki (Guest) on April 10, 2020
Hii ni kali sana! ππ€£
Mercy Atieno (Guest) on April 4, 2020
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Emily Chepngeno (Guest) on February 19, 2020
πππ€£
Martin Otieno (Guest) on January 27, 2020
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Joseph Mallya (Guest) on January 5, 2020
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Kheri (Guest) on December 19, 2019
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Mercy Atieno (Guest) on December 13, 2019
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Wilson Ombati (Guest) on November 6, 2019
π Siwezi kuacha kucheka!
Linda Karimi (Guest) on October 12, 2019
π€£ππ
Agnes Sumaye (Guest) on September 9, 2019
π€£ Sikutarajia hiyo!
Stephen Malecela (Guest) on September 2, 2019
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Bahati (Guest) on August 15, 2019
π Hiyo punchline!
Bahati (Guest) on August 3, 2019
π Siwezi kuacha kucheka!
Edward Chepkoech (Guest) on July 20, 2019
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ