Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Featured Image

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiya…sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!

MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"

MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"

"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisa….papai jamani"

KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"

"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!…Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"

RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"

Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"

Kimyaaa…

Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!……..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"

WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"

MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!….ofa nyingineeee!"

Kimyaaa…

Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!…ofa nyinginee!

Kimyaaa….

Kimyaaa….

πŸ˜πŸ˜πŸ˜β€¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balance…sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπŸ‘€(mama wee Mosha anachezea Simu!)…..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)…..mama weee😝

MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!

Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maiti….kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John CenaπŸ‘€β€¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimi….Chicken wings zinataka kutokea Masikioni…..Uuuuwiiiii,😝😝😝

Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na TomatoπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚.
chiel wie okee

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Yusra (Guest) on October 8, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Peter Mwambui (Guest) on September 12, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on September 6, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elijah Mutua (Guest) on August 31, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on August 24, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on July 28, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on July 5, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nancy Komba (Guest) on May 23, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on May 15, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ndoto (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

David Chacha (Guest) on May 1, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on April 11, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mariam Kawawa (Guest) on March 31, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Azima (Guest) on March 26, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Chiku (Guest) on March 14, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Faith Kariuki (Guest) on March 1, 2021

Asante Ackyshine

Bakari (Guest) on February 24, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Anna Mahiga (Guest) on February 23, 2021

🀣πŸ”₯😊

Maulid (Guest) on February 15, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Nancy Kabura (Guest) on January 2, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on December 28, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Thomas Mtaki (Guest) on December 28, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on December 20, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Chris Okello (Guest) on November 29, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on November 17, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on November 13, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on November 12, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Sokoine (Guest) on November 1, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on October 17, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Diana Mallya (Guest) on September 27, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on September 13, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on September 6, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on August 20, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Joyce Nkya (Guest) on August 15, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Mushi (Guest) on August 6, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on July 16, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Fikiri (Guest) on July 12, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Francis Mtangi (Guest) on July 9, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on July 5, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on June 19, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on May 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Grace Njuguna (Guest) on May 25, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Jaffar (Guest) on May 7, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Andrew Odhiambo (Guest) on May 6, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on April 12, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on April 10, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on April 4, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on February 19, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on January 27, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joseph Mallya (Guest) on January 5, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kheri (Guest) on December 19, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on December 13, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Wilson Ombati (Guest) on November 6, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Linda Karimi (Guest) on October 12, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Agnes Sumaye (Guest) on September 9, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Stephen Malecela (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Bahati (Guest) on August 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Bahati (Guest) on August 3, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on July 20, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact