Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_888b835061f673063fd3eda0f1ac35a3, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_60edefe166268fb24fa7b8214beca8a7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6d005f02559777776e12f2e54981dd7c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4d49325d4da09630fd4efa2d7b2937e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b5c216c0944927944195480cf4e49a33, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Otieno (Guest) on June 10, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Masika (Guest) on May 26, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on April 25, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on April 11, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on April 10, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on April 5, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Andrew Mahiga (Guest) on March 30, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on March 14, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on March 3, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Mushi (Guest) on February 16, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on February 8, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on January 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Neema (Guest) on November 22, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on November 15, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Simon Kiprono (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Charles Wafula (Guest) on October 11, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Baraka (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 4, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Emily Chepngeno (Guest) on September 27, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Omar (Guest) on September 6, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Victor Kimario (Guest) on August 26, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on August 21, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on August 10, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Mahiga (Guest) on July 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on June 24, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on June 15, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on May 21, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kazija (Guest) on April 26, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Robert Ndunguru (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jabir (Guest) on March 15, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 17, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on January 27, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Rose Lowassa (Guest) on December 9, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on December 2, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on November 8, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joyce Mussa (Guest) on October 28, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Aziza (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Lucy Mushi (Guest) on August 30, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Habiba (Guest) on August 19, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on August 11, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on July 30, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on June 26, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on June 22, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Brian Karanja (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Wilson Ombati (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on May 5, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Baraka (Guest) on April 14, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 6, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zakia (Guest) on April 3, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Margaret Anyango (Guest) on March 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mchuma (Guest) on March 15, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on February 1, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on November 13, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jafari (Guest) on November 12, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on November 6, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Fadhila (Guest) on October 23, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Kenneth Murithi (Guest) on October 13, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Related Posts

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3