Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mwikali (Guest) on March 12, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on January 23, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mhina (Guest) on December 1, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on November 4, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on October 26, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Issa (Guest) on October 22, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on October 22, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Mduma (Guest) on October 10, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Raphael Okoth (Guest) on October 4, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on September 28, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Philip Nyaga (Guest) on September 11, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ruth Kibona (Guest) on September 9, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on September 7, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarafina (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joseph Kitine (Guest) on August 28, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on August 26, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on July 18, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Samuel Were (Guest) on July 15, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Fatuma (Guest) on July 3, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Samson Mahiga (Guest) on June 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jane Muthui (Guest) on June 7, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on May 31, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on May 21, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mustafa (Guest) on May 20, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mtumwa (Guest) on May 2, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on April 28, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nora Lowassa (Guest) on April 22, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on April 19, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Malela (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mwachumu (Guest) on March 20, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ann Awino (Guest) on March 16, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on February 6, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Kimani (Guest) on January 19, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 17, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on January 12, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on December 29, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Joyce Mussa (Guest) on December 8, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on December 8, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on November 12, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Makame (Guest) on October 10, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Frank Macha (Guest) on October 9, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on September 23, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on September 14, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on September 10, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Paul Ndomba (Guest) on September 2, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Musyoka (Guest) on August 20, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on July 29, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elijah Mutua (Guest) on July 20, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Fadhili (Guest) on July 9, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Anna Kibwana (Guest) on June 30, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ndoto (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on April 23, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ramadhan (Guest) on February 16, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Kiwanga (Guest) on February 9, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kijakazi (Guest) on February 2, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Francis Mrope (Guest) on January 27, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on January 4, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Related Posts

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1e56b076d28fa798d4f0d67a02d28974, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3