Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mwikali (Guest) on March 12, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on January 23, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mhina (Guest) on December 1, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on November 4, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on October 26, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Issa (Guest) on October 22, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on October 22, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Mduma (Guest) on October 10, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Raphael Okoth (Guest) on October 4, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on September 28, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Philip Nyaga (Guest) on September 11, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ruth Kibona (Guest) on September 9, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on September 7, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarafina (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joseph Kitine (Guest) on August 28, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on August 26, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on July 18, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Samuel Were (Guest) on July 15, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Fatuma (Guest) on July 3, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Samson Mahiga (Guest) on June 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jane Muthui (Guest) on June 7, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on May 31, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on May 21, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mustafa (Guest) on May 20, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mtumwa (Guest) on May 2, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on April 28, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nora Lowassa (Guest) on April 22, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on April 19, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Malela (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mwachumu (Guest) on March 20, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ann Awino (Guest) on March 16, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on February 6, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Kimani (Guest) on January 19, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 17, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on January 12, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on December 29, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Joyce Mussa (Guest) on December 8, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on December 8, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on November 12, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Makame (Guest) on October 10, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Frank Macha (Guest) on October 9, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on September 23, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on September 14, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on September 10, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Paul Ndomba (Guest) on September 2, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Musyoka (Guest) on August 20, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on July 29, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elijah Mutua (Guest) on July 20, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Fadhili (Guest) on July 9, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Anna Kibwana (Guest) on June 30, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ndoto (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on April 23, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ramadhan (Guest) on February 16, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Kiwanga (Guest) on February 9, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kijakazi (Guest) on February 2, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Francis Mrope (Guest) on January 27, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on January 4, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Related Posts

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles