Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Featured Image

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiya…sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!

MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"

MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"

"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisa….papai jamani"

KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"

"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!…Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"

RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"

Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"

Kimyaaa…

Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!……..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"

WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"

MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!….ofa nyingineeee!"

Kimyaaa…

Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!…ofa nyinginee!

Kimyaaa….

Kimyaaa….

πŸ˜πŸ˜πŸ˜β€¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balance…sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπŸ‘€(mama wee Mosha anachezea Simu!)…..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)…..mama weee😝

MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!

Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maiti….kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John CenaπŸ‘€β€¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimi….Chicken wings zinataka kutokea Masikioni…..Uuuuwiiiii,😝😝😝

Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na TomatoπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚.
chiel wie okee

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Kipkemboi (Guest) on July 18, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kenneth Murithi (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

John Lissu (Guest) on June 6, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on May 28, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on May 25, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on April 29, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Hekima (Guest) on March 25, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Joy Wacera (Guest) on March 20, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on March 5, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joseph Kawawa (Guest) on February 19, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on January 16, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Alex Nyamweya (Guest) on November 22, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on November 8, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Mtangi (Guest) on October 29, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Yahya (Guest) on October 29, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Richard Mulwa (Guest) on August 26, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 9, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on July 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on July 4, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Victor Malima (Guest) on June 29, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on May 24, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on April 18, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Kitine (Guest) on April 16, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Arifa (Guest) on February 15, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rabia (Guest) on February 11, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Victor Sokoine (Guest) on January 1, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

James Malima (Guest) on December 10, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Charles Wafula (Guest) on November 25, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Grace Minja (Guest) on November 12, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on November 9, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mwafirika (Guest) on November 3, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Biashara (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Betty Akinyi (Guest) on October 13, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Mrope (Guest) on October 7, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on August 30, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on August 26, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 3, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Ochieng (Guest) on August 2, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Kamande (Guest) on July 27, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Chiku (Guest) on July 4, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Sumaye (Guest) on May 16, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on May 5, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rabia (Guest) on May 3, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mboje (Guest) on May 2, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on April 19, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Abdullah (Guest) on April 11, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jane Muthui (Guest) on March 31, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on March 14, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on March 11, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Robert Ndunguru (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on March 3, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Zawadi (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Ramadhan (Guest) on February 14, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on January 14, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Janet Mbithe (Guest) on January 13, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on January 11, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_127f17d973c176dcbe65016db7bd6818, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3