Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!
Date: December 20, 2015
Author: Melkisedeck Leon Shine
Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?
ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiweβ¦β¦"
Akameza mate kisha akaendeleaβ¦.
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka...
Read More
1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia...
Read More
Hapa ni shida
KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET...
Read More
Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.
Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat...
Read More
1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!...
Read More
Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si...
Read More
Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na hayaβ¦
1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa...
Read More
Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau...
Read More
ππππukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba
...
Read More
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana."
Nikashtuka, "Astaghafilulah we...
Read More
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich...
Read More
ππ kweli nimeamin mitandao inahribu watu
Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara...
Read More
Issa (Guest) on December 11, 2018
Asante Ackyshine
George Wanjala (Guest) on November 25, 2018
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Chris Okello (Guest) on November 24, 2018
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Diana Mumbua (Guest) on November 10, 2018
πππ π
Fredrick Mutiso (Guest) on October 30, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Joyce Aoko (Guest) on October 17, 2018
π Ninashiriki mara moja!
Sarah Mbise (Guest) on October 14, 2018
ππ€£ππ
Andrew Mahiga (Guest) on October 6, 2018
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Moses Kipkemboi (Guest) on September 22, 2018
Hii imenibamba sana! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on September 12, 2018
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Joseph Kawawa (Guest) on September 11, 2018
π Bado nacheka!
Ruth Wanjiku (Guest) on September 1, 2018
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Leila (Guest) on August 24, 2018
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Henry Sokoine (Guest) on July 30, 2018
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Dorothy Majaliwa (Guest) on July 15, 2018
πππ€£
Bernard Oduor (Guest) on July 7, 2018
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Mercy Atieno (Guest) on June 9, 2018
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Henry Mollel (Guest) on June 1, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Samuel Omondi (Guest) on May 11, 2018
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Husna (Guest) on May 2, 2018
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Ibrahim (Guest) on April 15, 2018
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Mercy Atieno (Guest) on April 15, 2018
ππππ
Nancy Kabura (Guest) on April 14, 2018
ππ€£ππ
George Ndungu (Guest) on April 9, 2018
ππ π
Henry Sokoine (Guest) on March 3, 2018
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Mwanahawa (Guest) on February 7, 2018
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Nassar (Guest) on February 3, 2018
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Paul Ndomba (Guest) on January 25, 2018
Nimefurahia sana hii! π π
Mwanahawa (Guest) on January 24, 2018
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Mary Njeri (Guest) on January 11, 2018
Mna talent ya jokes! ππ
Lydia Mahiga (Guest) on December 18, 2017
π Umeimaliza kabisa!
Brian Karanja (Guest) on December 2, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
John Kamande (Guest) on November 28, 2017
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
James Kawawa (Guest) on November 23, 2017
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Ahmed (Guest) on November 22, 2017
π Umeshinda mtandao leo!
Jamila (Guest) on November 21, 2017
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Diana Mallya (Guest) on November 18, 2017
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Joy Wacera (Guest) on November 14, 2017
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Linda Karimi (Guest) on September 20, 2017
π Siwezi kuacha kucheka!
Andrew Mchome (Guest) on September 17, 2017
Hii imenifurahisha sana! ππ
Agnes Lowassa (Guest) on August 16, 2017
π Naihifadhi hii!
Josephine Nduta (Guest) on August 14, 2017
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
John Lissu (Guest) on August 11, 2017
π Ninakufa hapa!
Muslima (Guest) on July 29, 2017
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Hawa (Guest) on July 16, 2017
π Umenishika vizuri!
Nancy Akumu (Guest) on July 15, 2017
Nimeipenda hii joke! ππ
Hellen Nduta (Guest) on July 2, 2017
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Janet Mbithe (Guest) on July 2, 2017
πππ π€£
Mwajabu (Guest) on July 1, 2017
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Thomas Mwakalindile (Guest) on May 25, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Charles Wafula (Guest) on May 15, 2017
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Alice Mrema (Guest) on May 3, 2017
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Janet Sumari (Guest) on May 2, 2017
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Ruth Wanjiku (Guest) on May 1, 2017
ππ€£π
Martin Otieno (Guest) on April 12, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Mhina (Guest) on April 4, 2017
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Furaha (Guest) on March 6, 2017
π Hii imenigonga kweli!
Victor Malima (Guest) on March 2, 2017
Hii imenichekesha sana! π€£π
Shamim (Guest) on February 22, 2017
π Nilihitaji kicheko hicho!
Jafari (Guest) on February 17, 2017
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!