Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c82aa739b086d5c31f76fc2e6c8f2cb5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Unakumbuka haya enzi za shule?
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na hayaβ¦
1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπ
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπ
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπ
π
Dah shule zetu hizi kiboko!!
Ipi umeipitia wewe
Share na wengine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c82aa739b086d5c31f76fc2e6c8f2cb5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki...
Read More
Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml...
Read More
Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M...
Read More
Teacher: Who is a pharmacist?
Shemdoe raised up his hand.
Teacher: So itβs only She...
Read More
Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u...
Read More
Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi...
Read More
JE WAJUA?
Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πππ½π...
Read More
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, aka...
Read More
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu...
Read More
Looku Looku* ππ
*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hiiβ¦.!!*
...
Read More
Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien...
Read More
LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TUβ¦β¦β¦
...
Read More
Mary Kidata (Guest) on August 6, 2017
Umetisha! ππ
Charles Mchome (Guest) on July 27, 2017
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Kevin Maina (Guest) on July 24, 2017
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Benjamin Kibicho (Guest) on July 7, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Grace Wairimu (Guest) on July 6, 2017
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
John Lissu (Guest) on June 14, 2017
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Omari (Guest) on May 23, 2017
π Umenishika vizuri!
Wilson Ombati (Guest) on May 7, 2017
π Ninacheka sana sasa hivi!
Janet Wambura (Guest) on May 3, 2017
π ππ
Fredrick Mutiso (Guest) on April 29, 2017
π Nalia kwa kweli hapa!
Rose Mwinuka (Guest) on April 19, 2017
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Henry Sokoine (Guest) on March 24, 2017
π Lazima nihifadhi hii!
Irene Akoth (Guest) on March 21, 2017
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Sarah Karani (Guest) on March 12, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Edward Lowassa (Guest) on February 28, 2017
π Nimeipenda kabisa hii!
Maimuna (Guest) on February 16, 2017
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Brian Karanja (Guest) on February 11, 2017
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Selemani (Guest) on January 27, 2017
π Bado nacheka!
Francis Mtangi (Guest) on January 26, 2017
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Mashaka (Guest) on January 16, 2017
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Victor Sokoine (Guest) on January 4, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Stephen Malecela (Guest) on December 12, 2016
π Kali sana!
Alice Wanjiru (Guest) on November 1, 2016
π Siwezi kuacha kucheka!
Peter Mbise (Guest) on October 31, 2016
πππ
John Mushi (Guest) on October 22, 2016
ππ€£
Mary Kendi (Guest) on October 14, 2016
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Benjamin Kibicho (Guest) on September 7, 2016
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Moses Kipkemboi (Guest) on August 1, 2016
ππ€£π₯
Peter Otieno (Guest) on July 26, 2016
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Frank Macha (Guest) on June 20, 2016
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Wilson Ombati (Guest) on May 24, 2016
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Shamim (Guest) on May 20, 2016
π Kichekesho kamili!
Thomas Mwakalindile (Guest) on May 15, 2016
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Charles Wafula (Guest) on May 4, 2016
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Patrick Kidata (Guest) on April 25, 2016
π€£ππ
Vincent Mwangangi (Guest) on April 11, 2016
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Charles Mchome (Guest) on March 10, 2016
ππ€£ππ
George Mallya (Guest) on December 27, 2015
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Nyota (Guest) on December 17, 2015
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
David Ochieng (Guest) on November 19, 2015
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Grace Minja (Guest) on November 11, 2015
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Mhina (Guest) on October 23, 2015
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Michael Onyango (Guest) on October 7, 2015
π Kali sana!
Nyota (Guest) on October 2, 2015
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Dorothy Nkya (Guest) on September 27, 2015
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Rose Lowassa (Guest) on September 23, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
John Lissu (Guest) on September 7, 2015
π Hii ni dhahabu!
David Ochieng (Guest) on August 17, 2015
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Margaret Anyango (Guest) on August 8, 2015
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Patrick Kidata (Guest) on August 5, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Margaret Anyango (Guest) on July 3, 2015
Hii imenifurahisha sana! π€£π
John Mushi (Guest) on July 1, 2015
Nimefurahia sana hii joke! π π
Linda Karimi (Guest) on June 21, 2015
πππ€£
Rose Waithera (Guest) on June 15, 2015
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Nancy Kawawa (Guest) on May 11, 2015
Napenda jokes zenu! ππ
Lydia Mutheu (Guest) on April 29, 2015
Huyu alikuwa na point! ππ