Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

JE IMANI AU MAPOKEO YA KANISA KATOLIKI YANAPATIKANA KATIKA BIBLIA?

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Wakatoliki wengi huyumbishwa kwa kuambiwa huamini mambo ambayo hayako au ni kinyume na Biblia. Aya zifuatazo zitakusaidia wewe mkatoliki kuelewa au kujua mistari ya Biblia inayofafanua imani katoliki.
1) KUOMBEA MAREHEMU:
2 Mak. 12:38-46
Hek. 3:1
Tob 4:17
2) MATUMIZI YA SANAMU NA VISAKRAMENTI
2Fal 3:20-21
Hes. 21:8-9
Kut. 25:17-22
Kol. 1:20, 2:14
Yn. 12:32
Mt. 19:11-12
3) USAHIHI WA MAPOKEO YA KANISA KATOLIKI KAMA CHANZO CHA IMANI
2 The 2:15
2 Kor. 10:10-11
Yn 21-25
2 Yoh. 1:12
3 Yoh. 1:13
4) KUABUDU JUMAPILI BADALA YA JUMAMOSI(SABATO)…. Hasa ni kwa sababu Yesu aliitukuza siku ya kwanza ya juma kwa ufufuko wake na kwa kuwatokea wanafunzi wake siku hiyo.
Ufu 1:10
Mdo 20:7
Mt 28:1-8
Lk. 24:1-7
Lk. 24:13ff
1 Kor. 16:1-2
Yn. 20:1-22
5) MAMLAKA YA PAPA KAMA MFUASI AU MRITHI WA MT. PETRO
Yn. 21:15-17
Mt 16:18-19
W 2:1-14
6) MAPADRI KUITWA BABA WAKATI BABA NI MMOJA ALIYEKO MBINGUNI
Mwa 17:4
Yer. 7:7
Hes. 12:14
Yn. 6:49
Mt 23:30
Lk. 1:73
7) JE BIBLIA INATAMBUA MUUNDO WA UONGOZI WA KANISA?
Efe. 4:11-13
1Tim 5:17-25
1Tim 3:1-7,8-18
8) JE BIBLIA INASEMAJE KUHUSU TOHARANI.
Isa 35:8, 52:1
Zek 13:1-2
1Kor 3:15
Lk 12:47-48, 58-59
Ufu 21:27
Ebr 12:22-23
Ayu 14:13-17
9) KUHUSU MATUMIZI YA UBANI
Kut 30:34-37
Hes 16:6-7
Law 16:12-13
Lk 1:10
Ufu 8:32
10) ROZARI IKO KATIKA BIBLIA?
Lk 1:28
Lk 1:42
11) JE KUTUMIA MAJI YA BARAKA NI MAPENZI YA MUNGU?
2Fal 2:19-22
Yn 5:1-18
Yn 7:37
Hes 19:1-22
12) KWANINI TUNAOMBA WATAKATIFU WATUOMBEE?
Mit 15:8, 15:29
Ayu 42:8
Yak 5:16
Mt 16:19
13)KWANINI TUNATUMIA MEDALI, MISALABA, SCAPURALI NA MIFUPA YA WATAKATIFU?
2Fal 13:20-21
14) KWANINI TUNAUNGAMA DHAMBI ZETU KWA PADRI
Mt 16:19,1-20
Yak 5:15-16
15) UBATIZO WA WATOTO WACHANGA UKO KATIKA BIBLIA
Mdo 16:15-33
Mdo 18:8
Mt 28:19
Mdo 10:47-48
16) KUSIMIKWA KWA UTUME
Kut 28:4-43
17) RANGI ZA KANISA
Kut 27:9-29
18) MATUMIZI YA MISHUMAA
Kut 25:31-40; 27:20-21
Hes 8:1-4
19) MPAKO WA MAFUTA YA KRISMA
Kut 30:22-32
20) MPAKO WA MAFUTA YA WAGONJWA
Yak 5:14-15
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Apr 20, 2024
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Mar 18, 2024
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest May 12, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Frank Macha Guest Dec 18, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Jane Malecela Guest Oct 22, 2022
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Nora Kidata Guest Oct 21, 2022
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Aug 29, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Janet Sumari Guest Jan 22, 2022
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Jan 7, 2022
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ James Mduma Guest Jan 5, 2022
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Oct 28, 2021
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Oct 12, 2021
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest Aug 4, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Jul 29, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest Apr 26, 2021
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Andrew Mchome Guest Apr 23, 2021
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Jan 10, 2021
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Jan 10, 2021
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Dec 26, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Moses Kipkemboi Guest Sep 23, 2020
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Aug 14, 2020
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Jun 16, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest May 27, 2020
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Feb 6, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Jan 30, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Nov 18, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Nov 17, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ John Mushi Guest Sep 13, 2019
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Aug 23, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Stephen Kikwete Guest May 5, 2019
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Nov 22, 2018
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Nov 11, 2018
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Oct 10, 2018
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest Sep 5, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest Apr 23, 2018
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Oct 31, 2017
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ George Tenga Guest Jun 18, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest May 26, 2017
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ David Sokoine Guest May 4, 2017
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Feb 7, 2017
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Dec 7, 2016
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Aug 30, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Aug 6, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ George Mallya Guest Jul 20, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Mary Njeri Guest Jul 12, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest Jun 3, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Feb 9, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Jan 17, 2016
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Dec 28, 2015
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Nov 19, 2015
Sifa kwa Bwana!

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About