Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Heshima za Liturujia kwa Bikira Maria

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Kuna ibada za Mama Bikira Maria zinazoadhimishwa katika liturujia ya Kiroma. Hapa zimepangwa kulingana na heshima zinavyozidiana:
Sherehe
8 Desemba โ€“ Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili 1 Januari โ€“ Bikira Maria Mama wa Mungu 25 Machi โ€“ Bikira Maria Kupashwa Habari 15 Agosti โ€“ Bikira Maria Kupalizwa Mbinguni

Sikukuu

31 Mei โ€“ Maamkio ya Bikira Maria 8 Septemba โ€“ Kuzaliwa kwa Bikira Maria

Kumbukumbu

Juni โ€“ Moyo Safi wa Maria 15 Septemba โ€“ Mama Yetu wa Huzuni 22 Agosti โ€“ Bikira Maria Malkia 7 Oktoba โ€“ Bikira Maria wa Rozari 21 Novemba โ€“ Bikira Maria Kutolewa Hekaluni

Kumbukumbu za Hiari

11 Februari โ€“ Bikira Maria wa Lurdi 13 Mei โ€“ Bikira Maria wa Fatima 16 Julai โ€“ Bikira Maria wa Mlima Karmeli 5 Agosti โ€“ Kutabaruku Kanisa la Bikira Maria 12 Septemba โ€“ Jina takatifu la Maria 12 Desemba โ€“ Bikira Maria wa Guadalupe
Tena kila Jumamosi isiyo na adhimisho maalumu, Kanisa huadhimisha kumbukumbu ya Mama wa Mungu.
Pia zipo heshima za binafsi kwa Bikira Maria: mashariki zinatumika tenzi na nyimbo mbalimbali, k.mf. Akatistos inayomuita โ€œdaraja linalounganisha dunia na mbinguโ€, โ€œngazi aliyoiona Yakoboโ€ โ€œkina kisichochunguzika kwa macho ya malaikaโ€ (Mwa 28:12); magharibi]] anaheshimiwa kwa rozari.
Wakristo wanaomheshimu Bikira Maria hawamuabudu hata kidogo, lakini wanamtolea heshima ya juu kuliko watakatifu wengine. Tofauti ni kwamba Mungu tu anastahili kuabudiwa (kwa Kigiriki, โ€˜latriaโ€™) watakatifu wanapewa heshima (โ€˜duliaโ€™) na Bikira Maria heshima zaidi (โ€˜yuper-duliaโ€™). Kanisa Katoliki linakiri neema zote za Mungu zinampitia Maria.
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Stephen Malecela Guest Jul 19, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ Andrew Mahiga Guest May 24, 2024
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Josephine Nduta Guest Apr 1, 2024
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mrema Guest Mar 22, 2024
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Stephen Amollo Guest Feb 28, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Samson Tibaijuka Guest Oct 2, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Patrick Kidata Guest Sep 26, 2023
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ James Kimani Guest Sep 7, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Victor Malima Guest Sep 2, 2023
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Victor Mwalimu Guest Jul 1, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ David Sokoine Guest Mar 15, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Josephine Nekesa Guest Nov 25, 2022
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Edward Lowassa Guest Oct 28, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Paul Kamau Guest Aug 10, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Alex Nyamweya Guest Aug 9, 2021
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Francis Njeru Guest May 24, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Alex Nakitare Guest Mar 9, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Catherine Mkumbo Guest Feb 18, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Lucy Wangui Guest Aug 25, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Rose Mwinuka Guest Jun 4, 2020
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Lucy Kimotho Guest May 16, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Brian Karanja Guest May 8, 2020
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Alice Jebet Guest Dec 20, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Victor Mwalimu Guest Sep 18, 2019
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Emily Chepngeno Guest May 2, 2019
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Irene Akoth Guest Apr 21, 2019
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Anna Malela Guest Mar 7, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Peter Mugendi Guest Jan 24, 2019
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Grace Njuguna Guest Jan 19, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Stephen Amollo Guest Aug 25, 2018
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Diana Mumbua Guest Jun 3, 2018
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mwakalindile Guest Apr 26, 2018
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Samuel Were Guest Jan 31, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Chris Okello Guest Jan 21, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Joseph Mallya Guest Jan 5, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Margaret Mahiga Guest Dec 17, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Simon Kiprono Guest Oct 29, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Mary Mrope Guest Aug 29, 2017
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kiwanga Guest May 7, 2017
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Samson Tibaijuka Guest Mar 21, 2017
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Victor Malima Guest Mar 5, 2017
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Anna Kibwana Guest Dec 19, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Rose Waithera Guest Nov 19, 2016
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Simon Kiprono Guest Jun 27, 2016
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Ruth Mtangi Guest Dec 23, 2015
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ David Kawawa Guest Dec 20, 2015
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Peter Mwambui Guest Dec 10, 2015
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Nancy Kawawa Guest Oct 9, 2015
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ David Nyerere Guest Jul 17, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Mary Kendi Guest Jul 5, 2015
Tumaini ni nanga ya roho

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About