Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Maswali na Majibu kuhusu Rehema

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Rehema ni nini?
Rehema ni msamaha au ondoleo la adhabu ya dhambi tulizostahili sababu ya dhambi zilizokwisha ondolewa

Rehema hutolewa na nani?
Rehema hutolewa na Kanisa Katoliki kwa kutugawia mastahili ya Yesu Kristo, Bikira Maria na Ya Watakatifu

Kuna Rehema za namna ngapi?
Rehema za namna mbili
1. Rehema kamili 2. Rehema pungufu (Rehema isiyo kamili)

Rehema kamili ni nini?
Rehema kamili ni msamaha wa kufutiwa adhabu zote za muda za dhambi

Rehema isiyo kamili (pungufu) ni nini?
Rehema isiyo kamili (pungufu) ni msamaha wa kupunguziwa adhabu ya dhambi

Adhabu za dhambi huondolewa kwa namna gani? Jinsi ya kupata rehema
Adhabu za dhambi huondolewa kwa; 1. Kufanya malipizi au majuto kamili 2. Kuvumilia taabu na mateso katika maisha 3. Kuvishinda vishawishi na majaribu
4. Kusali sala mbalimbali 5. Kuomba Misa kwa ajili hiyo. 6. Kusoma neno la Mungu na kulitafakari na kulinganisha na maisha yetu ya kila siku 7. Utakaso wa Toharani kama adhabu hizi hazikuondolewa duniani

Kipimo cha Rehema ni nini?
Kipimo cha Rehema hutegemea uzito wa majuto na mapendo mtu aliyonayo kwa Mungu Muumba wake. (1Kor 9:11)

Mtu akitaka kupata Rehema za Kanisa Katoliki yampasa nini?
Mtu akitaka kupata Rehema za Kanisa Katoliki yampasa; 1. Kujua na kufuata utaratibu unaotolewa na Kanisa Katoliki wa kupata Rehema 2. Awe katika hali ya neema ya Utakaso 3. Kufanya matendo yote yanayotakiwa kwa kupata rehema hiyo, kwa mfano;
a). Hija au Kuhiji katika mwaka wa Jubilei katika Kanisa lililo teuliwa na Askofu b). Kufanya mafungo - Kama vyama vya kitume c). Kuzuru makaburi (Kutembelea) yaliyobarikiwa d). Katika hatari ya kufa padri hutoa rehema pamoja na Sakramenti ya wagonjwa e). Kusali kwa nia za Baba Mtakatifu
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Mar 31, 2024
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Mar 10, 2024
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Feb 23, 2024
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Jan 18, 2024
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Jan 13, 2024
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ John Malisa Guest Jul 30, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest May 30, 2023
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Apr 3, 2023
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Mary Njeri Guest Feb 27, 2023
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Aug 14, 2022
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Jun 30, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Mary Kidata Guest Apr 13, 2022
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Jan 27, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Joseph Kawawa Guest Nov 19, 2021
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest May 9, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ John Mushi Guest Sep 19, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Aug 1, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest Jul 27, 2020
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Mar 19, 2020
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Feb 5, 2020
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Mary Kendi Guest Jan 21, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Jan 10, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Nov 22, 2019
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Jul 6, 2019
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Victor Kamau Guest Mar 4, 2019
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Feb 22, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Feb 7, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Dec 8, 2017
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Oct 2, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest Sep 6, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Jun 26, 2017
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Joyce Mussa Guest Jun 19, 2017
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Jun 5, 2017
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest May 17, 2017
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Ruth Kibona Guest Mar 30, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Michael Mboya Guest Mar 6, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ John Lissu Guest Mar 5, 2017
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Feb 16, 2017
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Jan 24, 2017
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Jan 20, 2017
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Nov 10, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Oct 9, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Jun 22, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Apr 15, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest Mar 2, 2016
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Feb 20, 2016
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Peter Tibaijuka Guest Sep 16, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Aug 30, 2015
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Isaac Kiptoo Guest Jul 26, 2015
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest Jul 18, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About