Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Amri ya Tatu ya Mungu: Tumeamriwa kuheshimu siku ya Mungu

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Katika amri ya tatu ya Mungu tumeamriwa nini?

Tumeamriwa kuheshimu siku ya Mungu:-

1. Kushiriki Misa Takatifu siku ya Jumapili na Sikukuu zote za Amri
2. Kuacha kazi nzito na
3. Kutenda matendo mema


Siku ya Mungu kwa Mkristo ni lini?

Siku ya Mungu kwa Mkristo ni siku ya Dominika, ndio siku aliyofufuka Bwana na huitwa pia Siku ya Bwana


Nani analazima kuhudhuria Misa Takatifu, Dominika na Sikukuu zilizoamriwa?

Kila Mkatoliki aliyetimiza umri wa Miaka saba na kuendelea ana lazima kuhudhuria Misa Takatifu, Dominika na Sikukuu zilizoamriwa.


Katika amri ya tatu ya Mungu tumekatazwa nini?

Katika Amri ya tatu ya Mungu tumekatazwa kufanya kazi nzito siku ya Dominika/Jumapili.


Kazi nzito zilizokatazwa kufanyika siku ya Bwana ni zipi?

Kazi nzito ni zile za kuchosha mwili na zisizo za lazima kama vile kulima, kujenga, kubeba mizigo mizito, biashara n.k.


Je ni dhambi kukosa Misa Jumapili?

NDIYO. Ni dhambi kubwa kukosa Misa kwa Makusudi siku ya Jumapili/Dominika na Sikukuu zilizoamriwa.


Nani atenda dhambi dhidi ya Amri ya tatu ya Mungu?

Anayetenda dhambi dhidi ya amri ya tatu ya Mungu ni yule:-

1. Asiyeshiriki Misa Takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa kwa uvivu au uzembe
2. Anayefanya kazi ngumu Dominika na sikukuu zilizoamriwa
3. Anayechelewa sehemu kuu ya Misa Takatifu
4. Anayekaa nje ya kanisa bila sababu wakati wa Misa Takatifu na Ibada. (Neh 13:15-22, Kut 20:8-11)


Anayevunja Amri ya Tatu ya Mungu yampasa nini?

Yampasa atubu na aungame kabla ya kushiriki Sakramenti nyingine

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Jul 8, 2024
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ John Malisa Guest Jul 5, 2024
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Apr 23, 2024
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Apr 22, 2024
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Apr 20, 2024
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest Apr 14, 2024
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Aug 22, 2023
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Aug 10, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Jul 25, 2023
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Jun 27, 2023
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest Jan 26, 2023
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest Jan 17, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Jan 9, 2023
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Joseph Kitine Guest Sep 20, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Alice Mrema Guest Sep 13, 2022
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Jul 24, 2022
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jul 15, 2022
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest May 4, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Mar 12, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Mar 5, 2022
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Stephen Malecela Guest Jan 28, 2022
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest Nov 18, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ John Malisa Guest Oct 7, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Jun 24, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Jun 7, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Oct 20, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Dorothy Nkya Guest Oct 4, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Sep 6, 2020
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Kenneth Murithi Guest Apr 29, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Jan 30, 2020
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Elijah Mutua Guest Jan 4, 2020
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Charles Mrope Guest Oct 26, 2019
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Apr 14, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Feb 9, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Jan 5, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ John Mushi Guest Jun 22, 2017
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Feb 1, 2017
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Nov 23, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ John Lissu Guest Nov 15, 2016
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Oct 17, 2016
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Oct 5, 2016
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Aug 13, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ David Ochieng Guest May 25, 2016
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Apr 2, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ David Kawawa Guest Mar 20, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Feb 24, 2016
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Nov 28, 2015
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Nov 1, 2015
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Sep 10, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Apr 16, 2015
Endelea kuwa na imani!

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About