
Ijue Ishara ya Msalaba

Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa paji la uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia na kutamka 'Kwa Jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Amina'.
Kugusa paji la uso tuna maana kukubali kwa akili, kugusa kifua maana yake ni kupokea na kuupenda msalaba moyoni na kugusa Mabega maana yake ni kuwa tayari kuubeba Msalaba kwa nguvu zetu zote.
Tunafanya njia ya Msalaba kwa nia ya kumkiri Mungu Mmoja katika Nafsi tatu. Pia Msalaba ni Ishara ya Ukombozi wetu.
Ishara ya Msalaba Juu ya Paji la uso, mdomo na kifua kabla ya injili:
Hii ina maana kwamba Niko tayari kulifahamu Neno la Mungu Kwa Akili yangu,
Nitalitangaza kishujaa kwa midomo yangu, na Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu Wote.
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Agnes Sumaye (Guest) on June 29, 2024
Nguvu hutoka kwa Bwana
Paul Ndomba (Guest) on May 3, 2024
Katika imani, yote yanawezekana
Victor Kamau (Guest) on April 20, 2024
Mungu ni mwema, wakati wote!
Ruth Mtangi (Guest) on December 21, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Elizabeth Mrema (Guest) on December 19, 2023
Rehema hushinda hukumu
Joseph Mallya (Guest) on June 21, 2023
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Agnes Njeri (Guest) on June 12, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
Paul Ndomba (Guest) on April 26, 2023
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Faith Kariuki (Guest) on April 15, 2023
Baraka kwako na familia yako.
Samson Tibaijuka (Guest) on December 8, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 13, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Stephen Amollo (Guest) on August 27, 2022
Rehema zake hudumu milele
Benjamin Kibicho (Guest) on June 25, 2022
Nakuombea 🙏
Grace Minja (Guest) on January 28, 2022
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Charles Wafula (Guest) on October 24, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Lucy Mahiga (Guest) on October 7, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Diana Mallya (Guest) on September 22, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Peter Mbise (Guest) on April 13, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Charles Wafula (Guest) on December 28, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Charles Wafula (Guest) on November 28, 2020
Sifa kwa Bwana!
Janet Wambura (Guest) on June 26, 2020
Dumu katika Bwana.
Peter Tibaijuka (Guest) on April 3, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mercy Atieno (Guest) on March 22, 2020
Imani inaweza kusogeza milima
Jane Muthoni (Guest) on February 9, 2020
Mwamini Bwana; anajua njia
Ann Awino (Guest) on February 1, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Janet Mwikali (Guest) on September 16, 2019
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
David Kawawa (Guest) on July 11, 2019
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Jane Malecela (Guest) on May 5, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Grace Wairimu (Guest) on February 10, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Mary Njeri (Guest) on October 8, 2018
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Samuel Were (Guest) on May 6, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Francis Njeru (Guest) on April 19, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
James Mduma (Guest) on January 11, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Richard Mulwa (Guest) on October 12, 2017
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Joy Wacera (Guest) on July 30, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
David Musyoka (Guest) on January 15, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Jackson Makori (Guest) on October 11, 2016
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Rose Amukowa (Guest) on August 16, 2016
Neema na amani iwe nawe.
James Kimani (Guest) on June 25, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Moses Mwita (Guest) on May 19, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Lydia Mutheu (Guest) on May 12, 2016
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Kenneth Murithi (Guest) on March 2, 2016
Endelea kuwa na imani!
Ann Wambui (Guest) on December 29, 2015
Mwamini katika mpango wake.
Andrew Odhiambo (Guest) on November 30, 2015
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Alex Nakitare (Guest) on September 14, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Joy Wacera (Guest) on September 5, 2015
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Francis Mrope (Guest) on June 16, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Mariam Hassan (Guest) on June 9, 2015
Mungu akubariki!
Nancy Kabura (Guest) on May 27, 2015
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Stephen Malecela (Guest) on April 18, 2015
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni