Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Featured Image
237 💬 ⬇️

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja. Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi. Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
237 💬 ⬇️

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Duh. Chezeya kuhama!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Featured Image

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako kwamba nimezini na mama yako, dada yako, shangazi yako, mama yako mdogo na mtoto wa shangazi yako.

 

236 💬 ⬇️

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Featured Image
Mume akamwambia mke wake: "Funga macho yako tufanye maombi" Akaanza kwa Kimombo:- "… Lord I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4…."
237 💬 ⬇️

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;
237 💬 ⬇️

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About