Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe:* πŸ‘†πŸΏ _(raised up his hand.)_

*Teacher:* `So it’s only Shemdoe that can tell who a pharmacist is in this class? Thus, no body else to answer the question except Shemdoe?`

_(There was no reply from the students)_

*Teacher:* `Ok. now Shemdoe, chukua hii fimbo, charaza vilaza hawa wote kila mmoja viboko 3.`

*Shemdoe* _(akiwa amevimba kichwa, akawatwanga viboko vitatu vitatu vya kushiba darasa nzima)_

*Teacher:* `Now, my dear Shemdoe tell this dumb students, who a pharmacist is…?`

*Shemdoe:* `Yes, sir. a Pharmacist is a farmer who assists people.`

_*Shemdoe sasa hivi amelazwa MOI kwa wataalam wa mifupa*_πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Hassan (Guest) on September 10, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Omari (Guest) on September 8, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Hellen Nduta (Guest) on August 29, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Anna Mchome (Guest) on August 13, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Hekima (Guest) on August 13, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

John Mushi (Guest) on July 30, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on July 28, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Francis Mtangi (Guest) on July 16, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Charles Mboje (Guest) on June 16, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Victor Mwalimu (Guest) on June 14, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on June 8, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on May 19, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on May 18, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abdullah (Guest) on April 27, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 26, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Elizabeth Mtei (Guest) on March 14, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on March 7, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Arifa (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Samson Mahiga (Guest) on January 31, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mary Njeri (Guest) on January 11, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on October 25, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Zuhura (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Moses Mwita (Guest) on September 12, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Maulid (Guest) on September 10, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Charles Mboje (Guest) on July 9, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Josephine Nduta (Guest) on July 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on June 21, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Simon Kiprono (Guest) on May 8, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Kheri (Guest) on April 26, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on April 19, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on March 25, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on March 14, 2016

🀣πŸ”₯😊

Samson Mahiga (Guest) on February 29, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Betty Kimaro (Guest) on December 15, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on December 14, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 14, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on November 10, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on November 5, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rabia (Guest) on October 10, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwalimu (Guest) on October 7, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 21, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Abubakari (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joyce Nkya (Guest) on August 23, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on August 9, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

David Nyerere (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on July 26, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chum (Guest) on July 21, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Yahya (Guest) on July 11, 2015

Asante Ackyshine

Victor Sokoine (Guest) on June 20, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on June 3, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on May 17, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on May 2, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on April 26, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrope (Guest) on April 18, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More