Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7835425d65883c3dbbeac646d3416b40, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Cheki nilichomfanyia boss wangu
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yenyewe tabu.. kwahio picha haikufunguka na kwa vile niliona itachelewa kufunguka na ataona sikumjibu basi nami..
Nikampelekea msg nikamuandikia umependeza saana bosi mashaallahβ¦!!
sasa baada tu ya kumfika msg.. na huku picha ikafunguka kumbe picha ya Sokwe..!!
Basi Kaniambia kesho niende ofsini kwake kuna barua yangu..
Nahisi hyo barua ina pesa, hapa cjalala, nmekosa usingizi kabisa,nawaza ninunulie nn hyo pesa.Na kesho asubuhi sa 12 asubuhi atanikuta ofisini kwake naisubiri barua, sipendagi ujinga mimi.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7835425d65883c3dbbeac646d3416b40, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"
Read More
Ndoto zingine bwana usiombe zikupate
Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen...
Read More
Angalia hivi
-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ...
Read More
Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ...
Read More
1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!...
Read More
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich...
Read More
Ni noma!
Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi...
Read More
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka k...
Read More
MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wakeβ¦bac...
Read More
Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ...
Read More
Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa...
Read More
Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiππ...
Read More
Agnes Sumaye (Guest) on September 5, 2017
Napenda jokes zenu! ππ
Susan Wangari (Guest) on July 3, 2017
π Hii ni kali sana!
Daudi (Guest) on June 23, 2017
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Francis Mtangi (Guest) on June 22, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
John Kamande (Guest) on June 19, 2017
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Margaret Anyango (Guest) on June 10, 2017
π πππ
Masika (Guest) on April 10, 2017
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Moses Mwita (Guest) on April 1, 2017
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Nora Kidata (Guest) on March 30, 2017
Hii imenichekesha sana! ππ
Victor Mwalimu (Guest) on March 9, 2017
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Diana Mallya (Guest) on February 18, 2017
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Rahim (Guest) on January 31, 2017
π Siwezi kuacha kucheka!
Edwin Ndambuki (Guest) on December 28, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Mwalimu (Guest) on December 21, 2016
π Dhahabu ya vichekesho!
Philip Nyaga (Guest) on December 18, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Janet Mwikali (Guest) on November 30, 2016
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Sarah Achieng (Guest) on November 6, 2016
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Hashim (Guest) on November 5, 2016
π Kali sana!
Grace Mushi (Guest) on November 3, 2016
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Ndoto (Guest) on November 1, 2016
π€£ Ninaituma sasa hivi!
John Mushi (Guest) on October 1, 2016
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Agnes Lowassa (Guest) on August 12, 2016
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
David Chacha (Guest) on August 4, 2016
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Zawadi (Guest) on July 11, 2016
π Umenishika vizuri!
Janet Mbithe (Guest) on June 4, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Andrew Mchome (Guest) on May 15, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Charles Wafula (Guest) on May 5, 2016
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
John Lissu (Guest) on March 25, 2016
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Josephine Nekesa (Guest) on February 21, 2016
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Andrew Odhiambo (Guest) on February 18, 2016
π Umeimaliza kabisa!
Janet Wambura (Guest) on February 12, 2016
π€£ Hii imewaka moto!
Nancy Kabura (Guest) on February 3, 2016
πππ π€£
Patrick Mutua (Guest) on February 2, 2016
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Robert Okello (Guest) on January 8, 2016
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Anna Mahiga (Guest) on January 4, 2016
Umesema kweli! ππ
Jaffar (Guest) on January 4, 2016
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Leila (Guest) on January 3, 2016
π Bado ninacheka!
Agnes Lowassa (Guest) on December 24, 2015
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Alex Nakitare (Guest) on November 5, 2015
π ππ
George Tenga (Guest) on November 4, 2015
Nimecheka hadi machozi π€£π
Monica Lissu (Guest) on November 1, 2015
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Rose Lowassa (Guest) on October 31, 2015
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Elizabeth Mrema (Guest) on October 13, 2015
ππ
Dorothy Nkya (Guest) on October 6, 2015
π Nitaiiba hii bila shaka!
Ahmed (Guest) on September 25, 2015
π Umenishika vizuri!
Catherine Naliaka (Guest) on September 3, 2015
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Betty Kimaro (Guest) on August 13, 2015
π Ninakufa hapa!
Grace Mligo (Guest) on July 24, 2015
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Joseph Kitine (Guest) on July 5, 2015
ππ€£ππ
Mariam Hassan (Guest) on June 21, 2015
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Sofia (Guest) on June 11, 2015
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Edward Chepkoech (Guest) on June 5, 2015
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Yahya (Guest) on June 3, 2015
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Mariam (Guest) on May 25, 2015
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Carol Nyakio (Guest) on May 3, 2015
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Richard Mulwa (Guest) on April 16, 2015
Hii imenibamba sana! π π€£