Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Wilson Ombati (Guest) on July 17, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Jafari (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Josephine (Guest) on July 1, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on June 1, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Tenga (Guest) on May 10, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Kiza (Guest) on April 30, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Michael Onyango (Guest) on April 15, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joseph Kitine (Guest) on March 23, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Mrema (Guest) on March 10, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on February 12, 2017

😊🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on February 4, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 9, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on January 5, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Bahati (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Henry Mollel (Guest) on November 30, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Fadhila (Guest) on November 10, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Tabitha Okumu (Guest) on November 3, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mwambui (Guest) on October 5, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Majid (Guest) on July 31, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Kahina (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Joseph Njoroge (Guest) on July 4, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on May 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on May 26, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jaffar (Guest) on May 4, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 14, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Thomas Mtaki (Guest) on March 17, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 11, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on January 21, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mercy Atieno (Guest) on January 18, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zainab (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on December 26, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Agnes Lowassa (Guest) on December 21, 2015

🀣πŸ”₯😊

Rahma (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Richard Mulwa (Guest) on November 15, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on October 28, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Michael Onyango (Guest) on October 12, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sarah Karani (Guest) on September 3, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on August 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zakia (Guest) on August 20, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rabia (Guest) on July 5, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Biashara (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Jebet (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Mchome (Guest) on May 27, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mustafa (Guest) on May 22, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on May 3, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on April 24, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on April 6, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Related Posts

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3