Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Maana ya Kumuamini Mungu

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Kumuamini Mungu ni kuwa na uhakika na uwepo na uwezo wa Mungu. Ni kutambua na kukubali kwa uhakika kuwa Mungu yupo na anaweza kutenda. Unaweza kuwa na Imani lakini ukakosa kuamini yaani unaamini kwa Mungu lakini huamini kama atakutendea.

Kuamini kunakua na sifa zifuatazo

1. Kutokuwa na mashaka kama Mungu atatenda au hatatenda

2. Kuwa na subira. Kusubiri Mungu atende wakati unaofaa

3. Kuwa na matumaini hata kama hujatendewa.

Mara nyingi watu wanakuwa na imani lakini hawaamini ndio maana wanashindwa kuelewa mapenzi ya Mungu, mipango na matendo yake.

Kuwa na Imani tuu bila Kuamini huwezi kuendelea mbele kiroho. Kukosa Kuamini ndiyo sababu inayokwamisha maendeleo ya kiroho kwa watu wenye imani.

Dalili za kukosa au kupungukiwa Kuamini ni kama ifuatavyo

1. Kutokuwa na uhakika kama sala zako zitajibiwa.

2. Kukosa subira na matumaini.

3. Kuwa na maswali kama, Hivi Mungu yupo na mimi au hayupo na mimi??. Kujiuliza Hivi Mungu amenisikia?, Ananikumbuka?, Atafanya kweli??

Kukosa Kuamini kukizidi kunaleta hali ya kuhisi kuwa Mungu yupo na anaweza kutenda chochote lakini hatendi. Utakua sasa unaanza Kujiuliza kwa nini. Mtu akifika katika hali hii, Imani huporomoka na kupotea Mara nyingine mtu hufikia Kukosa imani kabisa na Mungu japokuwa anajua yupo na anaweza.

Ili kuondokana na hali hii ya kuwa na Imani lakini unakua na Kukosa kuamini, jitahidi kusali /kuomba neema ya kuamini, Jitahidi kusoma Biblia itakujengea kuamini na pia omba ushauri kwa watu wenye imani na wanaoamini.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest May 10, 2024
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Mar 14, 2024
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Oct 28, 2023
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest Oct 14, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Jane Muthoni Guest Aug 15, 2023
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Jun 10, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest May 3, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Apr 2, 2023
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ David Musyoka Guest Sep 17, 2022
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Jul 25, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Nov 15, 2021
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Daniel Obura Guest Nov 7, 2021
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ George Tenga Guest Aug 30, 2021
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Aug 15, 2021
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Samuel Were Guest Apr 13, 2021
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest Mar 28, 2021
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest Feb 16, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Feb 11, 2021
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest Jan 10, 2021
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Jan 8, 2021
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ James Kimani Guest Apr 18, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Michael Onyango Guest Feb 13, 2020
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Feb 5, 2020
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest Sep 25, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ James Mduma Guest Jul 31, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Faith Kariuki Guest May 13, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest May 11, 2019
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Jane Malecela Guest Nov 10, 2018
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Aug 20, 2018
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Jul 4, 2018
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Jun 18, 2018
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Tabitha Okumu Guest Apr 15, 2018
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Margaret Anyango Guest Feb 22, 2018
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Feb 3, 2018
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Jan 19, 2018
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Dec 14, 2017
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Aug 11, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Aug 11, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Aug 11, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest May 13, 2017
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Apr 22, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Mar 17, 2017
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Catherine Mkumbo Guest Dec 9, 2016
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Lydia Wanyama Guest Sep 28, 2016
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest May 8, 2016
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Feb 11, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Dec 13, 2015
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Nov 18, 2015
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Nov 11, 2015
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Aug 25, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About