Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mama Bikira Maria alitoa ahadi 15 kwa yule au wale watakaosali Rozari takatifu kila siku. Ahadi hizi aliwapa Mtakatifu Dominic na mwenye heri Alan de la Roche.

1. Yeyote yule atakayesali kwa imani rozari hii takatifu atapokea neema kuu zenye nguvu
2. Naahidi ulinzi wa kipekee na neema za kipekee kwa yule atakayesali rozari hii
3. Rozari itakuwa silaha kubwa dhidi ya nguvu za kuzimu, itaharibu maovu, itapunguza dhambi na kushinda kutofautiana
4. Itafanya fadhila kukua, kazi nzuri kuongezeka, itapatia roho huruma tele toka kwa MUNGU, itaondoa hamu ya wanadamu kupenda mambo ya dunia na majivuno yake na kufanya wapende zaidi mambo ya mbinguni. Ooh, ni kwa namna gani roho hizo zitajifurahisha na kubarikiwa kwa namna hii.
5. Roho zitakazojikabidhi kwangu kwa njia ya kusali rozari, kamwe hazitapotea.
6. Yeyote atakayesali rozari kwa uaminifu huku akiyatafakari matendo makuu ya rozari, kamwe hatashindwa na ubaya. MUNGU hatamwadhibu katika hukumu yake, hatapotea katika kifo asichopangiwa na atabaki katika neema za MUNGU na kustahili kupata uzima wa milele.
7. Yeyote atakayekuwa mwaminifu katika kusali rozari, kamwe hatakufa bila ya kupokea Sakramenti takatifu za Kanisa.
8. Wote watakaokuwa waaminifu katika kusali rozari watadumu katika mwanga wa MUNGU katika maisha yao na saa yao ya kufa na kupata neema zake tele; katika saa yao ya kufa watashiriki fadhila za watakatifu waliopo peponi
9. Nitawatoa toharani wale wote waliokuwa waaminifu katika kusali rozari
10. Watoto wangu waaminifu katika kusali rozari watapata fadhila kuu ya utukufu Mbinguni.
11. Utapata yale yote unayoniomba kwa kusali rozari
12. Wote wale wanaoeneza rozari hii takatifu nitawasaidia katika mahitaji yao
13. Nimepata toka kwa mwanangu Mtukufu kuwa mawakili wote wa rozari takatifu watapata
waombezi toka baraza lote kuu la Mbinguni wakati wa maisha yao na wakati wa saa yao ya kufa.
14. Wote wanaosali rozari hii takatifu ni wanangu, na kaka na dada wa mwanangu wa pekee YESU KRISTO
15. Ibada kwa rozari takatifu ni ishara kuu ya kuelekea ukombozi
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Peter Tibaijuka Guest Jul 6, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Apr 25, 2024
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Peter Tibaijuka Guest Dec 20, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Nov 19, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Nov 18, 2023
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Joseph Kitine Guest Sep 9, 2023
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Ann Awino Guest Apr 16, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest Mar 23, 2023
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Feb 24, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Dec 15, 2022
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Michael Onyango Guest Sep 7, 2022
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest Apr 21, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Aug 23, 2021
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest May 24, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Daniel Obura Guest Feb 1, 2021
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest Nov 16, 2020
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest Nov 6, 2020
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Sep 17, 2020
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Sep 4, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Charles Wafula Guest Jul 25, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Apr 5, 2020
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Michael Mboya Guest Jan 25, 2020
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Oct 13, 2019
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Sep 15, 2019
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Aug 27, 2019
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest Apr 13, 2019
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Feb 9, 2019
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Jan 19, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Dec 29, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Nov 30, 2018
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest Oct 24, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ James Mduma Guest Oct 22, 2018
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Patrick Mutua Guest Sep 23, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ John Mwangi Guest Jul 8, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest May 10, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Kevin Maina Guest Dec 7, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest Mar 16, 2017
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ David Musyoka Guest Jan 16, 2017
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Oct 29, 2016
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Aug 25, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest May 29, 2016
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Betty Akinyi Guest May 22, 2016
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Feb 20, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Jan 15, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Sep 4, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Jul 5, 2015
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jul 4, 2015
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Jun 27, 2015
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Jun 2, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Catherine Mkumbo Guest Apr 21, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About